Niko dar - sioni wenyeji

Niko dar - sioni wenyeji

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Jamani ndo nimetinga jijini sioni mwenyeji hata mmoja kila anaepita naona yuko busy. Hii gari ya magazeti imeniacha kuku mwanzo mwanzo kabla ya kuingia DAR kumbe hawaruhusiwi kuingia mjini na abiria. Nampigia Anko anasema nipande gari ya kwenda Charambe nitamkuta kituoni. Hapa sioni gari inayokwenda Charambe, naomba kama kuna mwana JF anaekaa maeneo haya anifahamishe nimtafute.
 
Panda gari la mbagara rangi 3 utafika chalambe.
 
kwa iyo wana-jf ulitarajia kuwakuta hapo kibaha!....

gadem zako
 
  • Thanks
Reactions: RR
Pole, Mwana FA aliimba Msije Mjini we umepuuzia. Upo maeneo gani?. Unatokea maeneo gan?
 
Dah!! Hii thread ngumu hadi kubadilishwa topic...
 
Aisee, nitabaki mpwapwa milele. Kumbe watu wa dar hampokei wenyeji. Khaaa!
 
Aisee, nitabaki mpwapwa milele. Kumbe watu wa dar hampokei wenyeji. Khaaa!


Acha kutusingizia wewe.... kwani alitupa taarifa... Ule mji uko busy bana, mambo yoote kwa timetable....lol
 
Acha kutusingizia wewe.... kwani alitupa taarifa... Ule mji uko busy bana, mambo yoote kwa timetable....lol
<br />
<br />
jamaa aliandika thread la taarifa mapemaaa ila sahv katoswa. Dah!
 
Pole, Mwana FA aliimba Msije Mjini we umepuuzia. Upo maeneo gani?. Unatokea maeneo gan?
<br />
<br />
hilo usiulize ni moshi moja ujui magari ya magazeti yote ni kutoka moshi na arusha au kusudi mkuu..
 
Ashadii, mi nataka kuja huko dar.
Naomba unipokee.


Husny wewe hutakiwi hata kuomba... genge lipo la kutosha kukupokea... Mie nitabaki tu home napika kwa ajili yako na kuhakikisha chumba cha wageni hamna vumbi vumbi... maana na feni hio usije pata mafua maana hakijatumika siku nyingi....

Lingine??
 
Ashadii, mi nataka kuja huko dar.
Naomba unipokee.


Karibu saana... Ila anae kupokea ni Mzee (maana ndo kazi yake) nawe pia nakuandalia chakula na chumba cha wageni pia... Karibu saana....
 
Husny wewe hutakiwi hata kuomba... genge lipo la kutosha kukupokea... Mie nitabaki tu home napika kwa ajili yako na kuhakikisha chumba cha wageni hamna vumbi vumbi... maana na feni hio usije pata mafua maana hakijatumika siku nyingi....

Lingine??

We! Umemjibu nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom