Nikiwa Rais hizi ni gharama za nyumba ambazo watauziwa wananchi hii ni proposal tu

Nikiwa Rais hizi ni gharama za nyumba ambazo watauziwa wananchi hii ni proposal tu

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Nikiwa Rais moja ya mambo ntakayoyafanya ni kuhakikisha makazi ya watanzania yanakuwa mazuri na katika ubora unaotakiwa
  • Barabara zote zitakuwa kubwa na zitapigwa lami
  • Kukiwa na mipango miji kutakuwa ni rahisi kupigwa paving
  • Kutakuwa na mfumo wa Sewage watu hawatachimba tena mashimo
  • Nyumba zote zitakuwa na access ya bomba la maji, fiber kwa ajili ya Internet hata mtu asipotaka kuunganisha miundombinu itakuwa ipo
  • Kutakuwa na maeneo ya wazi kwa ajili ya kuchezea watoto
  • Kutakuwa na public garden kwa ajili ya watu kupumzikia

Nchi nzima itapimwa na kutengenezwa master plan itakayokuwa kwenye 3D

MAMBO YA KUZINGATIA
  • Serikali itahakikisha gharama za kujenga nyumba zinakuwa ndogo sanaaa ili kuhakikisha zoezi la kureplace nyumba ambazo zipo kwenye squatter linafanikiwa

Kwa nyumba za watanzania walio wengi
  1. Serikali itatoa mda kwa wenye nyumba wa mtaa husika waweze kubadilisha nyumba zao na kuzijenga kulingana na masterplan
  2. Mwenye nyumba atajengewa nyumba inaypendana na standard inayotakiwa na atalipa deni kwa mda wa miaka 15
Kutajengwa hostel ambazo mtu atalipia 500 kwa siku na kutakua na kitanda, na maji hii ni kuondoa wale wanaolala nje au kwenye makordo kwenye maduka ya watu kikubwa ni kuifanya miji yetu kuwa inclusive

GHARAMA ZA NYUMBA
Hizi gharama zitajumuisha nyumba nzima mpaka kupaua, rangi ya nje na mazingira ya nje, madirisha tiles za ndani, na rangi ya kwaida ya ndani- nje unaweza badilisha ubora wa rangi ila color ni ilele inatakiwa uniform kwa eneo husika
  • Nyumba ya hali ya chini kabisa laki 3 haya ni yale maeneo kwa ajili ya watu maskini, miji ya Tanzania lazima iwe inclusive na zitakuwa zinampangilia- sio lazima ulipe mara moja mtu anaweza lipa hata kwa miaka 3
  • Chumba kimoja master na store million 3
  • Chumba kimoja cha kulala, sebule, jiko, store million 5
  • Vyuma viwili vya kulala, sebule, jiko, dinning, store million 8
  • Vyumba vitatu vya kulala, sebule, jiko, dinning, store na sebule million 8
  • Vyumba vinne vya kulala, sebule, dinning, store, na sebule million 12
  • Vyumba vitano vya kulala, sebule, dinning, store kubwa, million 18

Apartment
Kwenye kila mji kutatengwa maeneo ya kujenga Apartment Mfano kwa dsm maeneo ya kimkakati ya mjini mfano kwa dsm kigogo, magomeni, manzese, kigogo, sinza, ubungo huku asilimia 100 ya nyumba zitakuwa ni Apartment na magorofa marefu wenye maeneo wataingia mkataba na developer namna ya kufikia muafaka

Hapa kutakua na partnership kati ya mwenye eneo na developer
  1. Mwenye eneo anaweza muuzia developer eneo na likawa mali ya developer
  2. Mwenye eneo anaweza ingia mkataba na developer kwamba atapewa apartment mbili na zilizobaki zitakuwa za developer

MAENEO YA KIFAHARI
Hakutakuwa na subsidy kwenye maeneo yaliyotengwa kwa makazi ya watu wenye fedha, watu wanaoishi wa kipato cha chini watakubaliana na developer namna ya kutafutiwa eneo lingine na kuyaachia maeneo ambayo yapo kwenye maeneo yaliyotengwa ya kifahari


MENGINEYO
  1. Mabanda ya chips yatakuwa na namna ya kuyajenga hayatajengwa kiholela holela kama ilivyo sahivi
  2. Mama ntilie watakuwa na sehemu zao maalumu na sio kupika vichochoroni
  3. Guest watakuwa na maeneo yao
  4. Bar watakuwa na maeneo yao hawatajijengea tu watakuwa na namna ya kujenga
  5. Maduka ya kuuza vitu vya rejareja yatakuwa na standard yao
  6. Saloon za kiume zitakuwa na standard zao
  7. Saloon za kike zitakuwa na standard
  8. Massage centre lazima watakuwa ni professional na watakuwa na namna yao ya kujenga
  9. Open space zitakuwepo wale ambao maeneo yao yametengwa kama open space watalipwa fidia
  10. Public garden zitakuwepo wale maeneo yao ambayo yatakuwa ni public garden watalipwa fidia
  11. Kila mtaa utakuwa na kituo cha bodaboda ambacho kitakuwa cha kisasa sio na itakuwa ni marufuku bodaboda kujenga kiholela holela
  12. Garage za magari na pikipiki hazitajengwa kiholela
  13. Car washing zitakuwa na namna ya kujenga
  14. Ofisi za carpenter, welding nazo zitakuwa na namna ya kuzijenga hazitajengwa kiholela
  15. Gym hazitajengwa kiholela
JAMBO LA MUHIMU NI KWAMBA INAWEZEKANA KUIFANYA TANZANIA KUWA NCHI NZURI
 
Nikiwa Rais moja ya mambo ntakayoyafanya ni kuhakikisha makazi ya watanzania yanakuwa mazuri na katika ubora unaotakiwa
  • Barabara zote zitakuwa kubwa na zitapigwa lami
  • Kukiwa na mipango miji kutakuwa ni rahisi kupigwa paving
  • Kutakuwa na mfumo wa Sewage watu hawatachimba tena mashimo
  • Nyumba zote zitakuwa na access ya bomba la maji, fiber kwa ajili ya Internet hata mtu asipotaka kuunganisha miundombinu itakuwa ipo

Nchi nzima itapimwa na kutengenezwa master plan itakayokuwa kwenye 3D

MAMBO YA KUZINGATIA
  • Serikali itahakikisha gharama za kujenga nyumba zinakuwa ndogo sanaaa ili kuhakikisha zoezi la kureplace nyumba ambazo zipo kwenye squatter linafanikiwa

Kwa nyumba za watanzania walio wengi
  1. Serikali itatoa mda kwa wenye nyumba wa mtaa husika waweze kubadilisha nyumba zao na kuzijenga kulingana na masterplan
  2. Mwenye nyumba atajengewa nyumba inaypendana na standard inayotakiwa na atalipa deni kwa mda wa miaka 15

GHARAMA ZA NYUMBA
Hizi gharama zitajumuisha nyumba nzima mpaka kupaua, rangi ya nje na mazingira ya nje, madirisha tiles za ndani, na rangi ya kwaida ya ndani- nje unaweza badilisha ubora wa rangi ila color ni ilele inatakiwa uniform kwa eneo husika
  • Nyumba ya hali ya chini kabisa laki 3 haya ni yale maeneo kwa ajili ya watu maskini, miji ya Tanzania lazima iwe inclusive na zitakuwa zinampangilia- sio lazima ulipe mara moja mtu anaweza lipa hata kwa miaka 3
  • Chumba kimoja master na store million 3
  • Chumba kimoja cha kulala, sebule, jiko, store million 5
  • Vyuma viwili vya kulala, sebule, jiko, dinning, store million 8
  • Vyumba vitatu vya kulala, sebule, jiko, dinning, store na sebule million 8
  • Vyumba vinne vya kulala, sebule, dinning, store, na sebule million 12
  • Vyumba vitano vya kulala, sebule, dinning, store kubwa, million 18

Apartment
Kwenye kila mji kutatengwa maeneo ya kujenga Apartment Mfano kwa dsm maeneo ya kimkakati ya mjini mfano kwa dsm kigogo, magomeni, manzese, kigogo, sinza, ubungo huku asilimia 100 ya nyumba zitakuwa ni Apartment na magorofa marefu wenye maeneo wataingia mkataba na developer namna ya kufikia muafaka

Hapa kutakua na partnership kati ya mwenye eneo na developer
  1. Mwenye eneo anaweza muuzia developer eneo na likawa mali ya developer
  2. Mwenye eneo anaweza ingia mkataba na developer kwamba atapewa apartment mbili na zilizobaki zitakuwa za developer

MAENEO YA KIFAHARI
Hakutakuwa na subsidy kwenye maeneo yaliyotengwa kwa makazi ya watu wenye fedha, watu wanaoishi wa kipato cha chini watakubaliana na developer namna ya kutafutiwa eneo lingine na kuyaachia maeneo ambayo yapo kwenye maeneo yaliyotengwa ya kifahari


MENGINEYO
  1. Mabanda ya chips yatakuwa na namna ya kuyajenga hayatajengwa kiholela holela kama ilivyo sahivi
  2. Mama ntilie watakuwa na sehemu zao maalumu na sio kupika vichochoroni
  3. Guest watakuwa na maeneo yao
  4. Bar watakuwa na maeneo yao hawatajijengea tu watakuwa na namna ya kujenga
  5. Maduka ya kuuza vitu vya rejareja yatakuwa na standard yao
  6. Saloon za kiume zitakuwa na standard zao
  7. Saloon za kike zitakuwa na standard
  8. Massage centre lazima watakuwa ni professional na watakuwa na namna yao ya kujenga
  9. Open space zitakuwepo wale ambao maeneo yao yametengwa kama open space watalipwa fidia
  10. Public garden zitakuwepo wale maeneo yao ambayo yatakuwa ni public garden watalipwa fidia
  11. Kila mtaa utakuwa na kituo cha bodaboda ambacho kitakuwa cha kisasa sio na itakuwa ni marufuku bodaboda kujenga kiholela holela
  12. Garage za magari na pikipiki hazitajengwa kiholela
  13. Car washing zitakuwa na namna ya kujenga
  14. Ofisi za carpenter, welding nazo zitakuwa na namna ya kuzijenga hazitajengwa kiholela
JAMBO LA MUHIMU NI KWAMBA INAWEZEKANA KUIFANYA TANZANIA KUWA NCHI NZURI
Sema usafiri wa boda boda haufai umeleta hasara Sana kuliko faida pikipiki ziwe kwa ajili ya kufanya delivery na sio kubeba abiria kibiashara
 
Halafu mimi ndiyo nitakuwa waziri wa wizara husika ili wajinga wajinga wakwamisha mipango tuwashughulikie
Kutakuwa na jeshi la mipango miji kwa ajili ya wale watukutu ambao watajiamulia kwa ukorofi wao kujenga bila kufuata utaratibu
Ni ukweli mambo mazuri yana-gharama
 
  • Barabara zote zitakuwa kubwa na zitapigwa lami
  • Kukiwa na mipango miji kutakuwa ni rahisi kupigwa paving
  • Kutakuwa na mfumo wa Sewage watu hawatachimba tena mashimo
  • Nyumba zote zitakuwa na access ya bomba la maji, fiber kwa ajili ya Internet hata mtu asipotaka kuunganisha miundombinu itakuwa ipo

Haya yanashindikana sasa kwa sababu zipi?
 
Kutajengwa hostel ambazo mtu atalipia 500 kwa siku na kutakua na kitanda, na maji hii ni kuondoa wale wanaolala nje au kwenye makordo kwenye maduka ya watu kikubwa ni kuifanya miji yetu kuwa inclusive
 
Back
Top Bottom