Wakuu nina shida, mwanzoni nilienda kwenye polyclinic nikaambiwa nina UTI kali, so nikachoma sindano tano nimezimaliza juzi.
Shida ni kua nikiwa nimelala, nikisimama ghafla nasikia maumivu makali yanayotoka kwenye upande wa sikioni kushuka kwenye bega upande wa kulia.
Na kitu kingine nikiwa nafungua mdomo unakua unalia kacha, kacha
Hii shida ni nini wakuu msaada tafadhali.
Danielmwasi stephot
Shida ni kua nikiwa nimelala, nikisimama ghafla nasikia maumivu makali yanayotoka kwenye upande wa sikioni kushuka kwenye bega upande wa kulia.
Na kitu kingine nikiwa nafungua mdomo unakua unalia kacha, kacha
Hii shida ni nini wakuu msaada tafadhali.
Danielmwasi stephot