donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
Habari wakuu,
Straight to the point tangu jana nilikua napata maumivu makali sana kwenye maeneo yashingo/ bega la kushoto. Nilihisi labda pengine nililala vibaya nikaamini maumivu yatakata.
Lakini ilipofika usiku wa jana maumivu yakawa makali mpaka nikameza paraceramol ndio nikalala mpaka asubuhi. Sasa hivi yamenianza tena wakuu, yananitesa sana.
Naomba msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Straight to the point tangu jana nilikua napata maumivu makali sana kwenye maeneo yashingo/ bega la kushoto. Nilihisi labda pengine nililala vibaya nikaamini maumivu yatakata.
Lakini ilipofika usiku wa jana maumivu yakawa makali mpaka nikameza paraceramol ndio nikalala mpaka asubuhi. Sasa hivi yamenianza tena wakuu, yananitesa sana.
Naomba msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app