Nikiona chupi ya msichana tu nachanganyikiwa

Nikiona chupi ya msichana tu nachanganyikiwa

watu wengi wamejaribu kukushauri na mi napenda nikupe ushauri walau kidogo. Tamaa ni mbaya sana. Kama ushafikisha umri wa kuoa nakushauri uanze mchakato. It will help you stabilise your psychology ambayo kwa kiasi kikubwa inaonekana kuharibiwa na disorder ya PARAHILIA.
Kama una girlfriend tayari kijana anza mchakato wa ndoa. We ulishawahi kujiuliza kwa nini kuna tofauti kubwa sana kati ya maisha waliyoishi babu zetu na wazee wetu pamoja na sisi. Vijana wengi siku hizi wanakufa mapema wanawaacha wazee bado wanadunda kwa sababu maisha yao wameyaharibu wenyewe. Hawataki kufata maandiko matakatifu wanafanya mambo kwa misukumo yao wenyewe. Hawasikii ushauri wa watu walioenda mbele yao wenye uzoefu.
Tamaa zako usipozielekeza kwenye vitu productive tayari utafall victim. Idle mind is the devil wworkshop. Unapata mda sana wa kwenda beach kuangalia vichupi kuliko kufanya mambo mengine mengi ya msingi.
jipange aisee. Ni ushauri tu mkuu. Kama haufai upotezee. Dunia ita deal na wewe
 
Bafuni nyumbani kwenu? Kwa hiyo huwa unanusa chupi za dada zako au wanaume wenzako? Maujinga mengine majanga tupu. Watu wazima kupost na kujadili mambo ya chupi JF ni dalili ya uzuzu.
Jibu, nyumba za kupanga.
Acha kutoa povu, sio lazima ukomenti zuzu mwenzetu.
 
ni chupi za wanawake tu au hata za wanaume wenzako?
 
Jibu, nyumba za kupanga.
Acha kutoa povu, sio lazima ukomenti zuzu mwenzetu.
Kwakweli bora hata ulipomjibu huyo mburula mana angenisababishia bana


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
watu wengi wamejaribu kukushauri na mi napenda nikupe ushauri walau kidogo. Tamaa ni mbaya sana. Kama ushafikisha umri wa kuoa nakushauri uanze mchakato. It will help you stabilise your psychology ambayo kwa kiasi kikubwa inaonekana kuharibiwa na disorder ya PARAHILIA.
Kama una girlfriend tayari kijana anza mchakato wa ndoa. We ulishawahi kujiuliza kwa nini kuna tofauti kubwa sana kati ya maisha waliyoishi babu zetu na wazee wetu pamoja na sisi. Vijana wengi siku hizi wanakufa mapema wanawaacha wazee bado wanadunda kwa sababu maisha yao wameyaharibu wenyewe. Hawataki kufata maandiko matakatifu wanafanya mambo kwa misukumo yao wenyewe. Hawasikii ushauri wa watu walioenda mbele yao wenye uzoefu.
Tamaa zako usipozielekeza kwenye vitu productive tayari utafall victim. Idle mind is the devil wworkshop. Unapata mda sana wa kwenda beach kuangalia vichupi kuliko kufanya mambo mengine mengi ya msingi.
jipange aisee. Ni ushauri tu mkuu. Kama haufai upotezee. Dunia ita deal na wewe

Asante kwa ushauri mlokole

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Bafuni nyumbani kwenu? Kwa hiyo huwa unanusa chupi za dada zako au wanaume wenzako? Maujinga mengine majanga tupu. Watu wazima kupost na kujadili mambo ya chupi JF ni dalili ya uzuzu.
Dada si inajulikana damu yake,atatamani vp?,au umekuja kutukana watu ?si ungetoka kimyakimya tu kama umekerekwa mdada?


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
9k=

Jaman msaada wana MMU nataka mniambie huu nilio nao ni ugonjwa au ni hali ya kawaida,mimi mwenzenu nikiiona tu chupi ya msichana iwe imeanikwa au kavaa imechungulia aidha iwe barabarani,mtaani ,kwenye gari ,ofisini au chuoni(yaani kwa ufupi popote pale) huwa nachanganyikiwa yaani na lose control mwili unasisimka na mgegedo nao unasimama wima,yani sometimes hadi inakuwa aibu unasimama hadi mbele za watu so long as nimeiona chupi.Weekends huwa napenda sna kwenda beach,tofauti na watu wengine kabisa kwamba wanaenda beach kula upepo mzuri mimi huwa naendaga kuangalia chupi tu za wanawake yaani hapo najisikia rahaaaaaa.........na wadada mnavyopenda kuvaa vichupi beach mimi huwa nakua tu hoi.....!!sasa nataka mniambie hii ni hali ya kawaida au ugonjwa

ni ugonjwa mbaya sana kuliko yote hapa duniani.....yaani wewe kazi yako ni kuchungulia wanawake tu!!!...tafuta tiba ya kiroho
 
ni ugonjwa mbaya sana kuliko yote hapa duniani.....yaani wewe kazi yako ni kuchungulia wanawake tu!!!...tafuta tiba ya kiroho
sijakuambia nachungulia,wewe uvaaji wa nguo wa wanawake siku hizi huujui?
 
zinunue weka nyumbani kwako, ukizichoka unatupa unaweka zingine. Utazizoea tu na utapona.
 
huko ni kujiendekeza tu, jaribu kujiongoza vizuri mwenyewe na nafsi yako.
 
zinunue weka nyumbani kwako, ukizichoka unatupa unaweka zingine. Utazizoea tu na utapona.

Nazipendaga zilizo mwilini mwa wasichana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom