Nikiona chupi ya msichana tu nachanganyikiwa

Nikiona chupi ya msichana tu nachanganyikiwa

Attachments

  • 1389298611764.jpg
    1389298611764.jpg
    8.3 KB · Views: 770
9k=

Jaman msaada wana MMU nataka mniambie huu nilio nao ni ugonjwa au ni hali ya kawaida,mimi mwenzenu nikiiona tu chupi ya msichana iwe imeanikwa au kavaa imechungulia aidha iwe barabarani,mtaani ,kwenye gari ,ofisini au chuoni(yaani kwa ufupi popote pale) huwa nachanganyikiwa yaani na lose control mwili unasisimka na mgegedo nao unasimama wima,yani sometimes hadi inakuwa aibu unasimama hadi mbele za watu so long as nimeiona chupi.

Weekends huwa napenda sana kwenda beach,tofauti na watu wengine kabisa kwamba wanaenda beach kula upepo mzuri mimi huwa naendaga kuangalia chupi tu za wanawake yaani hapo najisikia rahaaaa,na wadada mnavyopenda kuvaa vichupi beach mimi huwa nakua tu hoi.....!!

Sasa nataka mniambie hii ni hali ya kawaida au ugonjwa.

labda una umri gani ndugu yangu?
me naweza kuchukulia hiyo ni kama balehe tu, baada ya muda hiyo hali itapotea yenyewe, nakumbuka me enzi zangu ilikuwa nikienda shule nipo kwenye daladala kwanza nilikuwa napenda kusimama sana karibu na wakina dada, ili niweze kuona nywele zao za kikwapani au walau nipate kunusa kaharufu kao tu kama kwapa hata ikiwa mbaya me nilikuwa najisikia burudani kabisa mpaka kumoyo, lakini ilifika mda ikapotea tu yenyewe
 
9k=

Jaman msaada wana MMU nataka mniambie huu nilio nao ni ugonjwa au ni hali ya kawaida,mimi mwenzenu nikiiona tu chupi ya msichana iwe imeanikwa au kavaa imechungulia aidha iwe barabarani,mtaani ,kwenye gari ,ofisini au chuoni(yaani kwa ufupi popote pale) huwa nachanganyikiwa yaani na lose control mwili unasisimka na mgegedo nao unasimama wima,yani sometimes hadi inakuwa aibu unasimama hadi mbele za watu so long as nimeiona chupi.

Weekends huwa napenda sana kwenda beach,tofauti na watu wengine kabisa kwamba wanaenda beach kula upepo mzuri mimi huwa naendaga kuangalia chupi tu za wanawake yaani hapo najisikia rahaaaa,na wadada mnavyopenda kuvaa vichupi beach mimi huwa nakua tu hoi.....!!

Sasa nataka mniambie hii ni hali ya kawaida au ugonjwa.


kuna uwezekano hujapata mwenza ndo maana unakuwa hivyo angalia usije ukabaka kijana!!!!!!!!1
 
9k=

Jaman msaada wana MMU nataka mniambie huu nilio nao ni ugonjwa au ni hali ya kawaida,mimi mwenzenu nikiiona tu chupi ya msichana iwe imeanikwa au kavaa imechungulia aidha iwe barabarani,mtaani ,kwenye gari ,ofisini au chuoni(yaani kwa ufupi popote pale) huwa nachanganyikiwa yaani na lose control mwili unasisimka na mgegedo nao unasimama wima,yani sometimes hadi inakuwa aibu unasimama hadi mbele za watu so long as nimeiona chupi.

Weekends huwa napenda sana kwenda beach,tofauti na watu wengine kabisa kwamba wanaenda beach kula upepo mzuri mimi huwa naendaga kuangalia chupi tu za wanawake yaani hapo najisikia rahaaaa,na wadada mnavyopenda kuvaa vichupi beach mimi huwa nakua tu hoi.....!!

Sasa nataka mniambie hii ni hali ya kawaida au ugonjwa.

Shule zinafunguliwa lini?
 
Mimi huwa nazinusa kama zimesaulika bafuni, sasa sijui nami ni mapepo au ugojwa, msaada tafadhali.
kukusaidia ni kwamba uache tabia mbaya,maana kama imesahaulika bafuni itakuwa ya mama au dada yako,ingukuwa ya mkeo ungeinusa chumbani .hizo za bafuni ni za watajwa hapo juu.Dawa yake ni kuacha tabia mbaya,hilo tu.
 
Back
Top Bottom