Nimezaa nae watoto wawili,tumeishi miaka 12,nampenda sana ila alishanihakikishia katu hatobadili dini,iwapo nataka mke mkristo nioe,wanangu bado wadogo mmoja miaka 7,wa pili miaka 4. Kiimani sipo popote pia wanangu muda wote wana mama yao na mimi nafanya kazi mkoani.nifanyeje? Nioe mwanamke mkristo mwenzangu au je? Nishauri jamani!!!!!!!!!!!!!!!!