Nikikumbuka naumia sana

Nikikumbuka naumia sana

Wakati saivi yupo wakati mgumu sana yani kaachwa na mtoto wa miezi mitatu halafu hana kazi ambayo inampa hata buku kwa siku baba hana yupo yupo tuu ndio mana anarudi kutaka huruma kwangu
Anataka kurudi sio kwakuwa anakupenda ... anataka kurudi ili aje akuchune tena zoba wake...

Sijawahi kuona mpare mzembe kama wewe. Ngoja nikuitie kaka yako Mshana Jr aje akufanyie counselling...
 
Anataka kurudi sio kwakuwa anakupenda ... anataka kurudi ili aje akuchune tena zoba wake...

Sijawahi kuona mpare mzembe kama wewe. Ngoja nikuitie kaka yako Mshana Jr aje akufanyie counselling...
Ndio mana saivi nimemchunia kimyaaa ..na vi sms vyake mara ohoo baby wangu tusamehane yaliyopita si ndwele tugange yajayo. ..hahaaa wanawake bwana wana lugha TAMU saivi hanipati hata kwa Limbwata
 
Anataka kurudi sio kwakuwa anakupenda ... anataka kurudi ili aje akuchune tena zoba wake...

Sijawahi kuona mpare mzembe kama wewe. Ngoja nikuitie kaka yako Mshana Jr aje akufanyie counselling...
Na waswahili wanasema kuwa unakuwa mjinga wakati wa kwenda sio na wakati wa kurudi
 
Unapodanganywa ukaingia mtegoni, then udanganywa kwa namna ileile ukaingia tena mtegoni, watu watanawa kama pilato kwamba laana hiyo ni juu yako.
 
Fanya kile (nafis)Moyo unakupa kupenda kufanya,ambacho mwisho wako hakitakuwa majuto!
 
Lakini kwenye love kitu nikichojifunza kuwa ukiwa upo innocent aisee utaumia sana aisee mana watakuona zoba hamnazo sanaa
 
Back
Top Bottom