Nikikumbuka naumia sana

Nikikumbuka naumia sana

Jamaa akirudi tena kumuomba msamaha atamsamehe tena...bibiye anahuruma sana...usiwe baba huruma sawa?
 
Yaani mtu unafuatilia papuchi kama wafuatilia kuvutiwa umeme kwenye nyumba yako TANESCO "...... daaahh kuna watu mnavipaji"... kwanza Mimi mapenzi yakubembeleza mtu nilishashindwaga zamani sana"..= ndio maana huwaga nahangaika na misambinungwa wenzangu tu"...una approach leo unapewa ahadi ya mechi" kesho kutwa unakwenda kutibua vuzi
 
Habari wana MMU,,,?
moja kwa moja niende kwenye mada kuwa miaka michache huko nyuma nilikua na mahusiano na binti mmoja hivi ..
Kipindi Naanza chuo mana nilivyomaliza form six sikuunga chuo nilikua home nafanya shughuli zangu za Kimaisha ( michakato ya kiuchumi)
Sasa mwaka ambao ndio naanza first year kuna binti alikua yupo second year ila umri mdogo kuliko hata mimi tulianzia urafiki mwishoe nili approach akakubali ...
Yule Dada home kwao bwana kumbe hali ya kiuchumi haikua fresh kabisa na wakati huo alishatelelezwa na mama yake alikua anaishi na baba yake ( R.I.P) mwaka huo huo ambao tulikua tumeanza mahusiano. .
Kiujumla nilikua nampa sapoti kwa namna moja au nyingine kiuchumi hapo chuo na hata baadhi ya gharama za chuo nilikua nampa support mana mda mwingi sana alikua ananiomba nimpe support. .
Tulidumu almost ndani ya miaka miwili ila Sikuwahi hata kula mzigo wakati huo aisee Dini ilikua nimeishika sana na nilikua Sikuwahi kujiingiza masuala ya sex yule binti niliwahi kumuomba kama mara mbili hivi aligoma na kusema dhambi mpaka ndoa....
Kumbe dada wa watu saivi mama nanii huko uliko arusha Mungu akupe neema kwa magumu unayopitia. .
Binti wa watu alikua Bikra na pia aliweka promise na mtu wa huko kwao kuwa watakuja kuoana licha ya jamaa alishindwa uvumilivu aliamua kuzaa na mwanamke mwingine. .
Binti alijaribu kuniweka karibu sana na Kunifanya kuwa mtu wake wa karibu sana na kunipa faraja kanisani tulikua tunaenda wote kusoma wote ila yeye course nyingine...
Ilikua kila Nikimwambia kuhusu suala la kuja kuoana alikua anatoa vikwazo kuwa wanaume sio waaminifu kabisa na alikua analia kabisa kuwa hapendi kusikia suala hilo. .
Kumbe mwenzangu alikua anakumbuka jinsi gani mtu ambaye amewekeana promise naye ya kuja kuoana kuvunja kwa maana kuzaa na mke mwingine. ..
Mwaka wa tatu yule jamaa wa home kwao alikua anaomba msamaha kwa chini chini sana ila mwanamke bado alikua hajaridhika. .
Mimi nilikua sijui yalikua ya siri sana
Basi mimi Nilijitahidi Kadri ya uwezo wangu kujitoa kwake...
Hadi alipomaliza chuo ndani ya miezi sita ya mwanzo kila baada ya siku tatu au tano elfu 30 ,40 , 50 Niliweza kumpatia ili kuweka mambo sawa home mana wadogo zake mmoja alianza form one mwingine la sita ..alikua hana kazi wala alikua hajapata internship yupo tuu vijijini na bibi yake ..
Basi Kumbe wakati yupo mtaani jamaa ndio alikua anatumia nguvu kubwa sana kumshawishi yule mwanamke kuwa amsamehe na waanze upya jamaa Alitumia Njia anazojua mwisho wa siku kapata mke wake. .
Kwa upande wangu binti aliniambia kuwa wacha aanze maisha yake Binafsi mana anataka kuwa huru niliumia sana rafiki yake na yule binti aliniambia yote kuwa Mwenzako ameuridiana na mtu wake...
Basi nilipiga moyo konde japo Niliumia Sana aisee...
After one year a head yule binti alianza Kunitafuta na kutaka urafiki wetu urudi kama awali wakati huo kumbe yule jamaa mke ambaye amezaa naye aiseee sekeseke kubwa sana huko ..
Binti alishindwa matala mana jamaa alianza kuweka zamu ya kulala kwa wanawake zake kitendo hicho kilimkasilisha sana yule binti..
Rafiki yake alinipa habari zake na kuwa Kilichosababisha haya yote yule binti alikua anampenda sana jamaa alijua jamaa atabadilika kumbe la hasha...
Akajikuta anaanza kukumbuka upendo wangu na kuanza kuomba urafiki urudi na kuniambia tu kuwa kwa kipindi ambacho hatukuwa na mawasiliano alibahatika kupata mtoto mmoja...
Mimi sikumjibu chochote kile nipo zangu cool tuu mpaka leo miezi mitatu anaomba urafiki urudi nipo zangu najishughulisha na mishe zangu tuu mana chuo Nimesha Maliza. .
Kila nikikumbuka hii naumia sana nilikua mtu wa Aina gani kipindi hicho...
Sijui siku hizi nyinyi watoto huko chuo munafundiswa nini, i have gone thro your story and it seems you are not a CRITICAL THINKER. kwanza kabisa namupa huo binti hongera kwa kukataa sex till marriage, ila wewe ulikuwa unata na unaenda kanisani, lakini nije sababu ya kusema you are not a critical thinker, sasa mkuu unajua kuwa huyu binti alikuwa anakosa kukuambia UKWELI KUWA AKO NA MTU MUDA HUO WOTE, na hilo naona huyu binti ni mtu ambae SIO WA KUAMINIKA, maana kaa ni mtu wa kweli angekwambia wazi ako na mtu, na wala sio uongo ati nangoja hadi ndoa ndio sex, binti MUONGO. sasa mkuu baada ya kujua vile alikuwa anakuchezea YOU STILL HAVE THE GUTS TO ENTERTAIN HER WITH HER CALLS AND HER ASKING FOR FORGIVNESS AND REQUESTING YOU TAKE HER BACK, and all this after SHE HAS ARLEADY BECAME A MOTHER????????????????????????????????????? pls try and ENGAGE YOUR BRAIN, put your brain to work, nice weekend.
 
We mpare unatoka bwambo vugwama au vudee? Au suji?

Pumbavu.

Unafukuzia uchi utadhani madini.

Ndio sabato inakufundisha hivyo?
 
Write your reply...we ni boya sana ulishindwaje kumtafuna kabla ya yote

hakuna. kuhudumia kabla ya kutafuna


ushauri wangu uko tofauti kidogo
mkubalie halafu mtafune kulipa machungu halafu piga chini na yeye aonje joto la jiwe
 
Miaka miwili imepita saiv, toa mrejesho basi or kaa vip futa uzi wako
 
Habari wana MMU,,,?
moja kwa moja niende kwenye mada kuwa miaka michache huko nyuma nilikua na mahusiano na binti mmoja hivi ..
Kipindi Naanza chuo mana nilivyomaliza form six sikuunga chuo nilikua home nafanya shughuli zangu za Kimaisha ( michakato ya kiuchumi)

Sasa mwaka ambao ndio naanza first year kuna binti alikua yupo second year ila umri mdogo kuliko hata mimi tulianzia urafiki mwishoe nili approach akakubali ...
Yule Dada home kwao bwana kumbe hali ya kiuchumi haikua fresh kabisa na wakati huo alishatelelezwa na mama yake alikua anaishi na baba yake ( R.I.P) mwaka huo huo ambao tulikua tumeanza mahusiano.

Kiujumla nilikua nampa sapoti kwa namna moja au nyingine kiuchumi hapo chuo na hata baadhi ya gharama za chuo nilikua nampa support mana mda mwingi sana alikua ananiomba nimpe support. .
Tulidumu almost ndani ya miaka miwili ila Sikuwahi hata kula mzigo wakati huo aisee Dini ilikua nimeishika sana na nilikua Sikuwahi kujiingiza masuala ya sex yule binti niliwahi kumuomba kama mara mbili hivi aligoma na kusema dhambi mpaka ndoa....

Kumbe dada wa watu saivi mama nanii huko uliko arusha Mungu akupe neema kwa magumu unayopitia. .
Binti wa watu alikua Bikra na pia aliweka promise na mtu wa huko kwao kuwa watakuja kuoana licha ya jamaa alishindwa uvumilivu aliamua kuzaa na mwanamke mwingine. .

Binti alijaribu kuniweka karibu sana na Kunifanya kuwa mtu wake wa karibu sana na kunipa faraja kanisani tulikua tunaenda wote kusoma wote ila yeye course nyingine...

Ilikua kila Nikimwambia kuhusu suala la kuja kuoana alikua anatoa vikwazo kuwa wanaume sio waaminifu kabisa na alikua analia kabisa kuwa hapendi kusikia suala hilo. .

Kumbe mwenzangu alikua anakumbuka jinsi gani mtu ambaye amewekeana promise naye ya kuja kuoana kuvunja kwa maana kuzaa na mke mwingine. ..
Mwaka wa tatu yule jamaa wa home kwao alikua anaomba msamaha kwa chini chini sana ila mwanamke bado alikua hajaridhika. .

Mimi nilikua sijui yalikua ya siri sana
Basi mimi Nilijitahidi Kadri ya uwezo wangu kujitoa kwake...

Hadi alipomaliza chuo ndani ya miezi sita ya mwanzo kila baada ya siku tatu au tano elfu 30 ,40 , 50 Niliweza kumpatia ili kuweka mambo sawa home mana wadogo zake mmoja alianza form one mwingine la sita ..alikua hana kazi wala alikua hajapata internship yupo tuu vijijini na bibi yake ..

Basi Kumbe wakati yupo mtaani jamaa ndio alikua anatumia nguvu kubwa sana kumshawishi yule mwanamke kuwa amsamehe na waanze upya jamaa Alitumia Njia anazojua mwisho wa siku kapata mke wake. .

Kwa upande wangu binti aliniambia kuwa wacha aanze maisha yake Binafsi mana anataka kuwa huru niliumia sana rafiki yake na yule binti aliniambia yote kuwa Mwenzako ameuridiana na mtu wake...
Basi nilipiga moyo konde japo Niliumia Sana aisee...

After one year a head yule binti alianza Kunitafuta na kutaka urafiki wetu urudi kama awali wakati huo kumbe yule jamaa mke ambaye amezaa naye aiseee sekeseke kubwa sana huko ..

Binti alishindwa matala mana jamaa alianza kuweka zamu ya kulala kwa wanawake zake kitendo hicho kilimkasilisha sana yule binti..

Rafiki yake alinipa habari zake na kuwa Kilichosababisha haya yote yule binti alikua anampenda sana jamaa alijua jamaa atabadilika kumbe la hasha...
Akajikuta anaanza kukumbuka upendo wangu na kuanza kuomba urafiki urudi na kuniambia tu kuwa kwa kipindi ambacho hatukuwa na mawasiliano alibahatika kupata mtoto mmoja...

Mimi sikumjibu chochote kile nipo zangu cool tuu mpaka leo miezi mitatu anaomba urafiki urudi nipo zangu najishughulisha na mishe zangu tuu mana chuo Nimesha Maliza. .

Kila nikikumbuka hii naumia sana nilikua mtu wa Aina gani kipindi hicho...
Umeonesha uanaume kweli kweli ukifanya mistake ya kurudiana na huto Reject utakuwa umekosea sana.
 
Wewe mtoa mada kama kisa chako ni ukweli ni aina ya wavulana wajinga na sampo yako ni ya watu wanaoweza kujinyonda
Mimi nimewah kudate na mwanamke tena alinipenda saaana na tukawa tunasapotiana sio eti mm ndo nasapoti tuu noo,kiufupi maisha yake ya mahusiano yamekuwa ni mtihanai sababau yangu kwa vile tu alinicheat,nilimwambia asije fanya kitu nisichopenda akajua utani hadi kesho ananilaumu eti nimemuharibia maisha..mm huwa sirudi nyuma
 
Ulikuwa zoba sana
IMG_20200326_160047_513.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom