colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,926
Ukirudiana nae jiandae na maumiv mengine tena makubwa mkuuHahaaa....sasa mimi huyu anataka turudiane
Ukirudiana nae jiandae na maumiv mengine tena makubwa mkuuHahaaa....sasa mimi huyu anataka turudiane
At least....Kwaio unahisi kama asingezaa ingekuwa simple kurudiana
Kwahiyo sa ivi unamcheka?Ndio mana saivi nimemchunia kimyaaa ..na vi sms vyake mara ohoo baby wangu tusamehane yaliyopita si ndwele tugange yajayo. ..hahaaa wanawake bwana wana lugha TAMU saivi hanipati hata kwa Limbwata![]()
![]()
![]()
Hahaaaa. ..Hadithi yako inatufundisha nini?
Sawasawa chiefTatizo ww mtoa mada (nicholaus) hukuona redflags alizokua anakuonesha huyo demu tangu mlipoanza mahusiano, kwa uzoefu wangu red flags ambazo demu asiekupenda hukuonesha tangu mwanzo ni:-
1) Kukuomba pesa/kukulilia shida few days baada ya ww kumtongoza wakati bado haujala papuchi yake
2) Hakupi papuchi yake kirahisi, hata akija kukupa atakupa kwa shida sana..au baada ya ww ku-hustle mda mrefu sana..na kutoa pesa nyingi, na ukicheza cheza pesa utatoa na papuchi hutoipata milele.
3)Baada ya ww kumtongoza, Kila mda anadai yupo busy, ku-hang out na ww in private au in public hataki, she's not excited to be around u. Naomba mzigua na Evelyn salt na shunie mnirekebishe kama kuna mahali nimekosea, au kama kuna pa kuongeza muongeze
4) Mnapochat kwenye text anakuchukulia poa..sana, lyk hakutafuti mpaka ww umtafute, anakutumia text fupi, unachouliza ndo unachojibiwa
nicholaus mbwambo Mzigua90 Evelyn Salt Shunie
Yani saivi unaenda mwezi wa nne kila siku ananitafuta kuomba msamaha ohoo turudiane wangu yale yamepitaTatizo ww mtoa mada (nicholaus) hukuona redflags alizokua anakuonesha huyo demu tangu mlipoanza mahusiano, kwa uzoefu wangu red flags ambazo demu asiekupenda hukuonesha tangu mwanzo ni:-
1) Kukuomba pesa/kukulilia shida few days baada ya ww kumtongoza wakati bado haujala papuchi yake
2) Hakupi papuchi yake kirahisi, hata akija kukupa atakupa kwa shida sana..au baada ya ww ku-hustle mda mrefu sana..na kutoa pesa nyingi, na ukicheza cheza pesa utatoa na papuchi hutoipata milele.
3)Baada ya ww kumtongoza, Kila mda anadai yupo busy, ku-hang out na ww in private au in public hataki, she's not excited to be around u. Naomba mzigua na Evelyn salt na shunie mnirekebishe kama kuna mahali nimekosea, au kama kuna pa kuongeza muongeze
4) Mnapochat kwenye text anakuchukulia poa..sana, lyk hakutafuti mpaka ww umtafute, anakutumia text fupi, unachouliza ndo unachojibiwa
nicholaus mbwambo Mzigua90 Evelyn Salt Shunie
Sindio tabia zenuMme mwema wakati hajawahi kukupa k?
Tatizo ww mtoa mada (nicholaus) hukuona redflags alizokua anakuonesha huyo demu tangu mlipoanza mahusiano, kwa uzoefu wangu red flags ambazo demu asiekupenda hukuonesha tangu mwanzo ni:-
1) Kukuomba pesa/kukulilia shida few days baada ya ww kumtongoza wakati bado haujala papuchi yake
2) Hakupi papuchi yake kirahisi, hata akija kukupa atakupa kwa shida sana..au baada ya ww ku-hustle mda mrefu sana..na kutoa pesa nyingi, na ukicheza cheza pesa utatoa na papuchi hutoipata milele.
3)Baada ya ww kumtongoza, Kila mda anadai yupo busy, ku-hang out na ww in private au in public hataki, she's not excited to be around u. Naomba mzigua na Evelyn salt na shunie mnirekebishe kama kuna mahali nimekosea, au kama kuna pa kuongeza muongeze
4) Mnapochat kwenye text anakuchukulia poa..sana, lyk hakutafuti mpaka ww umtafute, anakutumia text fupi, unachouliza ndo unachojibiwa
nicholaus mbwambo Mzigua90 Evelyn Salt Shunie
Sasa huyu demu kadri siku anavyozidi kuniomba msamaha ndivyo anazidi kunipa hasirayou're very right
Mana kaisha fikia stage ya kuja home ila hanikuti nipo job na mishe zanguyou're very right
Sasa huyu demu kadri siku anavyozidi kuniomba msamaha ndivyo anazidi kunipa hasira
Nyakati zingine huwa natamani
Nicheze na akili yake nimjaze mimba then nimuache
Lazima nimfanyie roho mbaya kisasi cha hali ya juu ili aone maumivu ya kusalitiukimuacha yeye utabakisha damu yako kumbuka. ukimjaza mimba wakati anakuchosha utachoka zaidi akitaka matunzo ya mtoto. usitumie hasira ukapata hasara baadae. mkaushie
Yani namjaza na kumtelekeza daimaukimuacha yeye utabakisha damu yako kumbuka. ukimjaza mimba wakati anakuchosha utachoka zaidi akitaka matunzo ya mtoto. usitumie hasira ukapata hasara baadae. mkaushie
Ujinga gani sasaAcha ujinga nicholaus mbwambo
Asante sana chiefna ukimsamehe unastahili kupigwa mawe hadi kufa...
Chamsingi mimi nahisi atakuroga hivyo naingia kwemye maombi kukuombea