Kijana kweli unakuwa na mahusiano na single mother na mwanaye!

Kijana kweli unakuwa na mahusiano na single mother na mwanaye!

bro alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2025
Posts
1,889
Reaction score
2,262
Jamaa yangu alinikera sana, iko hivi mshikaji alikua amejipata pata kifedha si mbaya.

Kuna single maza akawa ana mganda jamaa ampe fedha kusaidiana tu, Na huyo singo maza alikua na jamaa ambae anamhudumia vizuri tu. Jamaa mtu mzima kidogo.

Huyu singo maza akawa anaokota tena kwa mshikaji wangu, halafu wanaitana dada na kaka. Jamaa kapitia hapohapo kaanza kula yule mdada mmama yani single maza.

Mtoto wa yule singo maza alikua chuo diploma sikumbuki kozi gani nae akawa ana mganda jamaa ampe pesa za kutumia.

Jamaa anatoa, Mi nikajua majukumu ya baba ohooo kumbe jamaa kaanza tena kumkunja yule binti. Jamaa anajichapia tu, sijafurahishwa na hili jambo msifanye hivo ndugu zangu si uungwana


Kwishaaaaaaaa
 
Kama mtoto mtu alianza kuomba matumizi kwa jamaa moja kwa moja ilhali akijua kuwa mwamba ni mkaza mama, na mama ana mkaza mwingine, yaani wawili kwa pamoja...binti alilenga hilo jambo litokee!

Hapa inabidi kupata miongozo ya wenye dini zao, imekaaje hiyo!
 
Kimaadili haipendezi..

Kihuni kwa kuwa wanautaka wenyewe, unachapa fimbo.

Sasa chagua kihuni au kimaadili
Mkuu malipo hapahapa duniani nasi ni wazazi lolote linaweza tokea. JE tutajisikiaje mkuu? YANI baba WA kambo, TENA muhuni TU kala KUKU na mayai yake, alafu wanawake hawana aibu BADO TU anamganda JAMAA na anajua KILA kitu

Kwishaaa
 
Kama mtoto mtu alianza kuomba matumizi kwa jamaa moja kwa moja ilhali akijua kuwa mwamba ni mkaza mama, na mama ana mkaza mwingine, yaani wawili kwa pamoja...binti alilenga hilo jambo litokee!

Hapa inabidi kupata miongozo ya wenye dini zao, imekaaje hiyo!
Mkuu yule BINTI anapenda starehe, ana umbo NAMBA nane SIO mtoto maana YUPO chuo. JAPO kiumri ni MDOGO ila kachezewa sana na JAMAA yangu. Alafu lile JAMAA lake na SINGO maza lisha wahi kumpa kipigo JAMAA yangu BAADA ya kuwafuma wanachapana na SINGO maza, Nusra limuue


Kwishaaaa
 
Back
Top Bottom