Nikikumbuka naumia sana

Nikikumbuka naumia sana

Pole sana mkuu, Ulikumbwa na tatzo kama nililolipitia mimi labda utofaut ni kwamba mm sikuwah toa sana pesa kwa ajiri ya mwanamke, Nashukuru Jf nilipata ushaur na ujasiri wa kusonga mbele na maisha yangu, ushaur achana nae tena usiwahi mfikiria huyo anatafuta attachments wala hana nia njema na ww, Muache apambane na hali yake
 
Write your reply...Kwa wale mnaopenda msipopendwa niwape taarifa tu kuwa hili ni tatizo la dunia nzima endeleeni kuwa wavumilivu mpaka hapo kizazi kingine kitakapozaliwa
 
dah watu mnahudumia tu....ahahahaha mna moyo sana..anyway kama ni mimi bishafunga kurasa,,,kwa wewe utajua tu la kufanya.....ila jua hawa hawatakagi a good man au mtu anayejali sana..wanataka rough man vurugu kama hizo mara kofi mara wanawake ndio wanaona wamepata so if u play innocent man ur a looser to them
 
Narudia tena,kamwe usikubali kurudiana na mpenzi ambae alikuacha akaenda huko akatendwa hivyo anaomba kurudi. Hakupendi,akimpata tena anayemtaka atakubull shit tena..usikubali kuwa spair tyre..
 
Funguka mkuu unachojua
Nakushangaa pamoja na kuhudumia note kule Bikra kaila mwingine tena na Mimba juu....Leo akaona arudi kwa Bwege wake wa zamani na wewe etii unampa hadi nafasi ya kumfikiria na hata zaidi unamfungulia Uzi humu....Hii inaonesha ni Jinsi gani anavyokuona kua wewe huna maisha mengine pasipo yeye....Nikushauri tuu kua nae ila Mimba ya pili atampa tena jamaa yakeee.....Damn
 
Back
Top Bottom