nicholaus mbwambo
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 287
- 233
- Thread starter
- #81
Sijamjibu sms na call zake three monthsKwa huo upole wako kama maji mtungini jiandae kulambishwa mchanga kwa sana tu
Sijamjibu sms na call zake three monthsKwa huo upole wako kama maji mtungini jiandae kulambishwa mchanga kwa sana tu
Na akimkula anamtegeshea nimbaAkikutafuta mfungie vioo mkuu. Cha msingi mkule kwanza maana kumpotezea bila kumkula wakati ulishamgharamia sana bado utakuwa umeidhulumu nafsi yako
Pamoja na kumjali kote, amekuona wewe ndio wa kutumia vitu used
OkSijamjibu sms na call zake three months
Kama anajali, mimba itaingiajeNa akimkula anamtegeshea nimba
Huyu jamaa sijui alikuwa anatumia formula gani kwenye mahusianoWanawake wengi wajinga sana.
Dawa usirudishe moyo nyuma,mwambie nina mpenzj wangu mwingine kwa sasa na tunapendana sana.
Wee jamaa na wewe sijui ndio udomo zege. Yaani upo nae muda wote umeshindwa kula mzigo na baada ya kutoswa nako bado upo tu unang'aa sharubu. Ndio maana watoto wa kike wanakuchezea sana.
Kama huwez kulea mtoto ina maana hata yeye hutaweza kukaa nae,cha msingi endelea na maisha yako achana nae utapata ugonjwa wa moyo bure, haya mambo yanataka mtu ambae ameshapitia mengi kuhusu wanawake ndo ataweza na awe jasiriNtaleaje mtoto wakati baba yake yupo anadundika kitaani kabisa
Saivi zamu yake kulia mkuuKama huwez kulea mtoto ina maana hata yeye hutaweza kukaa nae,cha msingi endelea na maisha yako achana nae utapata ugonjwa wa moyo bure, haya mambo yanataka mtu ambae ameshapitia mengi kuhusu wanawake ndo ataweza na awe jasiri
Kweli previous Nilifanya mistake ila saivi hapana mkuu ndio mana hata mawasiliano naye sina kabisa ila yeye analazimishaHuyu jamaa sijui alikuwa anatumia formula gani kwenye mahusiano
Huyo potezea mazima ila changanya na za kwakoKweli previous Nilifanya mistake ila saivi hapana mkuu ndio mana hata mawasiliano naye sina kabisa ila yeye analazimisha
Sawasawa mkuuHuyo potezea mazima ila changanya na za kwako
Mkuu numejifunza hawa viumbe jeuri sana aisee usijaribuKama anajali, mimba itaingiaje
Tena mapicha picha yale ya century sinemaNaumia sana hususani pale ambapo anaomba msamaha kuwa urafiki urudi kama awali aisee naona analeta mapicha picha
Sana aisee nilimpenda sana nilijitoa kwa namna moja au nyingine kwake ila akaniona boyaa sana ila saivi anarudi nyumaTena mapicha picha yale ya century sinema
Saivi natuliza kichwa kwanza mkuuAchana nae endelea na maisha yako, wanawake wako wengi sana tafuta mwingine.
Tumia zana mkuu, mnaongelea mimba hamuogopi maradhiMkuu numejifunza hawa viumbe jeuri sana aisee usijaribu
Condom ikipasuka napo risk mkuuTumia zana mkuu, mnaongelea mimba hamuogopi maradhi
Mkuu smartphone hizi maneno ya malikia yanakuja tuu"After One year ahead....!" Hujui tu, Kiswahili kitamu sana
Ukiivaa kwa kuzingatia maelekezo haipasukiCondom ikipasuka napo risk mkuu