Nikikumbuka naumia sana

Nikikumbuka naumia sana

Naumia sana hususani pale ambapo anaomba msamaha kuwa urafiki urudi kama awali aisee naona analeta mapicha picha
Umekaa na mwanamke zaidi ya miaka miwili bila kumtarasua kwa kisingizio cha kushika dini.. DINI GANI HIYO INAYORUHUSU MAHUSIANO YENYE MLENGO WA KINGONO/KIMAPENZI PASIPO NA NDOA?..
Alikuona zwazwa na bado anakuona msukule wake.. hongera
 
Umekaa na mwanamke zaidi ya miaka miwili bila kumtarasua kwa kisingizio cha kushika dini.. DINI GANI HIYO INAYORUHUSU MAHUSIANO YENYE MLENGO WA KINGONO/KIMAPENZI PASIPO NA NDOA?..
Alikuona zwazwa na bado anakuona msukule wake.. hongera
Hapana mkuu shida kwamba binadamu tunatifautiana na hapo utakua umepata picha mimi mtu wa Aina gani
 
Hapana mkuu shida kwamba binadamu tunatifautiana na hapo utakua umepata picha mimi mtu wa Aina gani
Mrudie basi ili kuonesha huo utofauti wako kivitendo haina haja ya kutaka ushauri.. HUYO NDIO MWANAMKE WA MAISHA YAKO NA UANZE KUMTUMIA TENA ZILE ELFU 30 HADI 50 ILA UMUONGEZEE HATA KA LAKI KAMOJA KILA BAADA YA SIKU CHACHE HAITAKIWI APITIE MAGUMU KABISA
 
Mrudie basi ili kuonesha huo utofauti wako kivitendo haina haja ya kutaka ushauri.. HUYO NDIO MWANAMKE WA MAISHA YAKO NA UANZE KUMTUMIA TENA ZILE ELFU 30 HADI 50 ILA UMUONGEZEE HATA KA LAKI KAMOJA KILA BAADA YA SIKU CHACHE HAITAKIWI APITIE MAGUMU KABISA
Hahaaa....Hapana saivi akili imebadilika chief sio kipindi kile
 
Wanawake wengi wajinga sana.
Dawa usirudishe moyo nyuma,mwambie nina mpenzj wangu mwingine kwa sasa na tunapendana sana.
Wee jamaa na wewe sijui ndio udomo zege. Yaani upo nae muda wote umeshindwa kula mzigo na baada ya kutoswa nako bado upo tu unang'aa sharubu. Ndio maana watoto wa kike wanakuchezea sana.
Madem huwa wanakatabia flani common sana. Na hiki si kingine zaidi kama uliwah kuwafuma au walikuacha kwa nyodo.. aakirud huwa wanakuja kwa speed kubwa sana.
Na huwa wanatest kama unaingilika, si kwamba wanakupenda au wametambua makosa yao, hapana. Ila wanatafuta pa kutuliza nafsi zaoo...

Wakiona mdhaif watakuchezea sana. Wakiona mgumu huw hata hawaangaiki
 
Aisee pole sana mdau kwa yote yaliyotokea kwa upande wako ila hii story kama inanihusu kwa upande fulan so haya ndo mapenz kuumizana lazma
 
Madem huwa wanakatabia flani common sana. Na hiki si kingine zaidi kama uliwah kuwafuma au walikuacha kwa nyodo.. aakirud huwa wanakuja kwa speed kubwa sana.
Na huwa wanatest kama unaingilika, si kwamba wanakupenda au wametambua makosa yao, hapana. Ila wanatafuta pa kutuliza nafsi zaoo...

Wakiona mdhaif watakuchezea sana. Wakiona mgumu huw hata hawaangaiki
Na hicho ndicho numejifunza kwa huyu na nahisi ndio wadada wengi wapo hivyo
 
Habari wana MMU,,,?
moja kwa moja niende kwenye mada kuwa miaka michache huko nyuma nilikua na mahusiano na binti mmoja hivi ..
Kipindi Naanza chuo mana nilivyomaliza form six sikuunga chuo nilikua home nafanya shughuli zangu za Kimaisha ( michakato ya kiuchumi)
Sasa mwaka ambao ndio naanza first year kuna binti alikua yupo second year ila umri mdogo kuliko hata mimi tulianzia urafiki mwishoe nili approach akakubali ...
Yule Dada home kwao bwana kumbe hali ya kiuchumi haikua fresh kabisa na wakati huo alishatelelezwa na mama yake alikua anaishi na baba yake ( R.I.P) mwaka huo huo ambao tulikua tumeanza mahusiano. .
Kiujumla nilikua nampa sapoti kwa namna moja au nyingine kiuchumi hapo chuo na hata baadhi ya gharama za chuo nilikua nampa support mana mda mwingi sana alikua ananiomba nimpe support. .
Tulidumu almost ndani ya miaka miwili ila Sikuwahi hata kula mzigo wakati huo aisee Dini ilikua nimeishika sana na nilikua Sikuwahi kujiingiza masuala ya sex yule binti niliwahi kumuomba kama mara mbili hivi aligoma na kusema dhambi mpaka ndoa....
Kumbe dada wa watu saivi mama nanii huko uliko arusha Mungu akupe neema kwa magumu unayopitia. .
Binti wa watu alikua Bikra na pia aliweka promise na mtu wa huko kwao kuwa watakuja kuoana licha ya jamaa alishindwa uvumilivu aliamua kuzaa na mwanamke mwingine. .
Binti alijaribu kuniweka karibu sana na Kunifanya kuwa mtu wake wa karibu sana na kunipa faraja kanisani tulikua tunaenda wote kusoma wote ila yeye course nyingine...
Ilikua kila Nikimwambia kuhusu suala la kuja kuoana alikua anatoa vikwazo kuwa wanaume sio waaminifu kabisa na alikua analia kabisa kuwa hapendi kusikia suala hilo. .
Kumbe mwenzangu alikua anakumbuka jinsi gani mtu ambaye amewekeana promise naye ya kuja kuoana kuvunja kwa maana kuzaa na mke mwingine. ..
Mwaka wa tatu yule jamaa wa home kwao alikua anaomba msamaha kwa chini chini sana ila mwanamke bado alikua hajaridhika. .
Mimi nilikua sijui yalikua ya siri sana
Basi mimi Nilijitahidi Kadri ya uwezo wangu kujitoa kwake...
Hadi alipomaliza chuo ndani ya miezi sita ya mwanzo kila baada ya siku tatu au tano elfu 30 ,40 , 50 Niliweza kumpatia ili kuweka mambo sawa home mana wadogo zake mmoja alianza form one mwingine la sita ..alikua hana kazi wala alikua hajapata internship yupo tuu vijijini na bibi yake ..
Basi Kumbe wakati yupo mtaani jamaa ndio alikua anatumia nguvu kubwa sana kumshawishi yule mwanamke kuwa amsamehe na waanze upya jamaa Alitumia Njia anazojua mwisho wa siku kapata mke wake. .
Kwa upande wangu binti aliniambia kuwa wacha aanze maisha yake Binafsi mana anataka kuwa huru niliumia sana rafiki yake na yule binti aliniambia yote kuwa Mwenzako ameuridiana na mtu wake...
Basi nilipiga moyo konde japo Niliumia Sana aisee...
After one year a head yule binti alianza Kunitafuta na kutaka urafiki wetu urudi kama awali wakati huo kumbe yule jamaa mke ambaye amezaa naye aiseee sekeseke kubwa sana huko ..
Binti alishindwa matala mana jamaa alianza kuweka zamu ya kulala kwa wanawake zake kitendo hicho kilimkasilisha sana yule binti..
Rafiki yake alinipa habari zake na kuwa Kilichosababisha haya yote yule binti alikua anampenda sana jamaa alijua jamaa atabadilika kumbe la hasha...
Akajikuta anaanza kukumbuka upendo wangu na kuanza kuomba urafiki urudi na kuniambia tu kuwa kwa kipindi ambacho hatukuwa na mawasiliano alibahatika kupata mtoto mmoja...
Mimi sikumjibu chochote kile nipo zangu cool tuu mpaka leo miezi mitatu anaomba urafiki urudi nipo zangu najishughulisha na mishe zangu tuu mana chuo Nimesha Maliza. .
Kila nikikumbuka hii naumia sana nilikua mtu wa Aina gani kipindi hicho...
Huyo binti atakuwa kwao Manyara kabila Mbulu au Muiraki ndo wanahizo tabia za kuwekeana ahadi za kuoana wakiwa wadogo, kuna jamaa yangu yalimpata kama yako cha ajabu zaidi mabinti wa hayo makabila nadhani huwa bwana zao wanawakea dawa maana hata aishi mikoa ya mbali lazima atamkumbuka tu. Nakushauri usijaribu kuanza urafiki nae maana yule bwana wake wa awali hatoachana nae wataendelea kugegedana kisiri na utakuja kulea watoto ambao si wako. We mpotezee kabisa au mtafute kula mzigo ila mwambie asikuzoee unampenzi wako.
 
Kivipi mkuu funguka
Bot usipoteze muda na mwanamke wa aina hiyo. Mara nyingi wanatafuta tulizo la moyo. Na ukisha mruhusu baada ya muda atarudia tabia zake upya.

Nakwambia hivyo maana nimesha experience kutoka kwa ex zangu.. na walinitema kwa dharau na fujo.. mmoja akaolewa kwa mbwembwe sana na kelele mingi.. wkt huo ndio nimemaliza chuo narudi kitaa sina job yoyote.
Iliniuma sana ila maisha yakasonga... huko aliko olewa baada ya miaka miwili mambo yakawa si mambo. Leo hii ananitafuta na machozi, sms za misamaha haziishi, katuma hadi ndugu zake lakin nimekataa kata kata.

Mwingine nilimpa another chance , baada ya kuona nimetulia akarudia tabia zile zile. Nakamtema mazima.. leo hii simu haziishi.. anaomba misamaha kibao.
 
Huyo binti atakuwa kwao Manyara kabila Mbulu au Muiraki ndo wanahizo tabia za kuwekeana ahadi za kuoana wakiwa wadogo, kuna jamaa yangu yalimpata kama yako cha ajabu zaidi mabinti wa hayo makabila nadhani huwa bwana zao wanawakea dawa maana hata aishi mikoa ya mbali lazima atamkumbuka tu. Nakushauri usijaribu kuanza urafiki nae maana yule bwana wake wa awali hatoachana nae wataendelea kugegedana kisiri na utakuja kulea watoto ambao si wako. We mpotezee kabisa au mtafute kula mzigo ila mwambie asikuzoee unampenzi wako.
Ila yeye mchaga mkuu
 
Back
Top Bottom