nicholaus mbwambo
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 287
- 233
- Thread starter
- #41
Mkuu hapana malezi na dini ndio viliniweka cool kuamini kila kitu na time yakeWanawake wengi wajinga sana.
Dawa usirudishe moyo nyuma,mwambie nina mpenzj wangu mwingine kwa sasa na tunapendana sana.
Wee jamaa na wewe sijui ndio udomo zege. Yaani upo nae muda wote umeshindwa kula mzigo na baada ya kutoswa nako bado upo tu unang'aa sharubu. Ndio maana watoto wa kike wanakuchezea sana.
