Mshana Jr katika ubora wake. Ni kweli tupu. Na watu wa aina hii ni washika pesa yaani huwa hawakaukiwi. Kifupi ni watu wa ngekewa au bahati kubwa.Una nyota ya jaha..ama una ngekewa! Makinika na uHai wako.. Wakikuotea wanatetembea na wewe wakugeuze msukule wao
Nilishawahi kuwa na mpenzi alikuwa hivyo... Kila tukipanga kuonana hata kama sina senti tano mida ikikaribia napata pesa tena sio chini ya lakiMshana Jr katika ubora wake. Ni kweli tupu. Na watu wa aina hii ni washika pesa yaani huwa hawakaukiwi. Kifupi ni watu wa ngekewa au bahati kubwa.
Ngoja nifunge safari..ukija utakijua.
Karibu dear...utafurahia.Ngoja nifunge safari
Uwe makini Cariha.Hata mimi hyo kitu hunikuta sana kiasi shoga angu alikuwa anapenda niwe naenda kwa biashara yake
Miaka ya nyuma kuna mtu alikuwa ananipa lifti kila siku asubuhi ktk teksi yake. Siku ya kwanza niliomba, zinazofuata akawa ananisubiri kabisa na njia hiyo haikuwa na daladala. Sikuelewa sababu. Akaropoka kwa mtu siku moja kuwa "yule dada akiweka kalio tu ktk teksi yangu napata abiria hadi naamua tu kwenda kulala kwa kuchoka". Ujumbe ukanifikia nikawa namkwepa.
Una tatizo la kisaikolojia.Habari wana great thinker
Nina hii hali, nikikaa kwenye biashara ya mtu mfano duka siku hiyo lazima wateja wawe wengi.
Hi hali huwa ina nitokea hata nikiwa bar. Hata kama bar hiyo haina wateja lakini siku nikichukua muda na kukaa sehemu hiyo hata kama sinunulii mtu kinywaji lazima wateja wajae.
Hii hali imekua ikinitokea mara nyingi ndugu zangu wana great thinker naomba kujua nini chanzo cha hii hali
Jf watu kama nyinyi hamtakuja kuisha kamwe.Unatafuta kazi ya uuzaji kwa akili sana ... Nmependa ubunifu wako
Tukiisha watabaki vilaza tu na haitanoga.Jf watu kama nyinyi hamtakuja kuisha kamwe.
Yupo jamaa... Tena anazeeka na wivu wake...Daah, CREOLE umeolewa ? hivi ukiwa unalala kabisa na kua ka na mimi si nitamzidi Mo Dewji... leo nakesha PM kwako kieleweke.
Bei zako kiasi gani nina mgahawa uraya njoo uwe unaapear
Nimekumis sana shostiee,Hata mimi hyo kitu hunikuta sana kiasi shoga angu alikuwa anapenda niwe naenda kwa biashara yake