Charles Gerald
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,405
- 1,845
Hata baba yangu alitoa amri hii kipindi anaugua NA alifariki 1989 mama alikuwa chuma NA hakuolewa!!!!!
"chuma" ndio nini mkuuHata baba yangu alitoa amri hii kipindi anaugua NA alifariki 1989 mama alikuwa chuma NA hakuolewa!!!!!
Njoo nyumban nikufafanulie"chuma" ndio nini mkuu
Nije kumuona? nyoosha maelezo mkuu.Njoo nyumban nikufafanulie
Maadili yako umeyapeleka wapi? Wawezaje kumwita mama yako chuma?Hata baba yangu alitoa amri hii kipindi anaugua NA alifariki 1989 mama alikuwa chuma NA hakuolewa!!!!!
KOSA NI NINI HAPA?Maadili yako umeyapeleka wapi? Wawezaje kumwita mama yako chuma?
NJOO.................Nije kumuona? nyoosha maelezo mkuu.
"chuma" ndio nini?
Siji,NJOO.................
Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"
SAWASiji,
inaonekana watoto mna hamu sana ya kuwa na baba.
Nina ndoa ya kikristo.
Aulizwe Mama ake bado chuma?Maadili yako umeyapeleka wapi? Wawezaje kumwita mama yako chuma?
Bado yupo Chuma huyo Mama ako?Hata baba yangu alitoa amri hii kipindi anaugua NA alifariki 1989 mama alikuwa chuma NA hakuolewa!!!!!
THAT WAS 1989 AND STILL AKO NA NGUVU ... THAT WAS WHAT I MEANT..............Bado yupo Chuma huyo Mama ako?
Babu yangu anatafuta mchumba chuma...
Maadili yako umeyapeleka wapi? Wawezaje kumwita mama yako chuma?
Maadili yako umeyapeleka wapi? Wawezaje kumwita mama yako chuma?
hahahahha mkuu unamajibu shoombo kichiz...Siji,
inaonekana watoto mna hamu sana ya kuwa na baba.
Nina ndoa ya kikristo.