Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,520
- 86,081
Hayo maneno yenu hayo, taratibu jamani!
Kila anayepewa nafasi ya kujinadi/kutangaza nia ni lazima aseme kuwa hatalipiza kisasi akichaguliwa!! Haya maneno yanabeba ujumbe mkubwa sana. Tafadhali kama mna ugomvi wenu malizaneni huko huko mtuachie nchi yetu salama.
Kila anayepewa nafasi ya kujinadi/kutangaza nia ni lazima aseme kuwa hatalipiza kisasi akichaguliwa!! Haya maneno yanabeba ujumbe mkubwa sana. Tafadhali kama mna ugomvi wenu malizaneni huko huko mtuachie nchi yetu salama.