Nikanunue wapi kifaa cha HIV test?

vipimo hivi huwa vinadanganya, hasa ukiona negative. ila ukiona imeonyesha positive, ujue ni kweli havidanganyi. nasema hivi kama vimeonyesha negative usiamini kwasababu wakati mwingine ngoma huwa inaonekana baada ya miezi mitatu tangu mtu ashike, hivyo kama amenasa ana mwezi mmoja tu haijasambaa mwili wote unaweza kupima kumbe damu uliyoiminya ni salama ila ile iliyobaki labda ilikuwa inazunguka maeneo mengine ya mwili ni positive, hivyo ukajikuta majibu yanaonekana negative kumbe ndani ya mwili huo kuna positive lakini ukimwi upo initial stages tu. kama ukiona demu ameonekana negative, usipige kavu, piga na mpira.

vilevile, usiogope tu ngoma, siku hizi hata kama mtu hana ngoma anayo hepatitis, ugonjwa wa ini unaoenezwa kwa ngono ambao ni mbaya kuliko ngoma kwani hauna arv....cha muimu ni kuacha ngono nje ya ndoa tu ndio suluhisho. mwisho, kama umeshapiga kavu mzee, nakushauri kaa miezi mitatu nenda kapime, inawezekana umeshanasa.

so ndani ya miezi 3 kabla au baada y kuambukizwa au kutoambukizwa vpm hutoa majib yeny uhakika? ,
 
Huwa mnatumia nini kujitoboa ili mpate damu? Ila kujipima mwenyewe kwalengo lakujua afya yako ni vizuri tuu ila kwamaswala ya ngono nihatari isiyokuwa na mfano?
 
Hebu malizia kwanza ulipomkuta Positive bado uligonga au ulitema mzigo???then nitarudi kucomment

Yeye ndiye anayegongwa na hao wanaume anaowapima. Kwahiyo kwenye biashara yake, haliwi mpaka awe amempima mlaji.
 
Huwa mnatumia nini kujitoboa ili mpate damu? Ila kujipima mwenyewe kwalengo lakujua afya yako ni vizuri tuu ila kwamaswala ya ngono nihatari isiyokuwa na mfano?

kuna visindano vinatolewa pmj na hivyo vifaa,
hatari gani mkuu?
 
Hivi vipimo Viki fresh kabisa Hata Leo asubuhi nometoka kupima na kuhusu vyakutobolea kuna sindano maalumu unatumia kutobolea kidole then unaitupa
 
vipimo hivi huwa vinadanganya, hasa ukiona negative. ila ukiona imeonyesha positive, ujue ni kweli havidanganyi. nasema hivi kama vimeonyesha negative usiamini kwasababu wakati mwingine ngoma huwa inaonekana baada ya miezi mitatu tangu mtu ashike, hivyo kama amenasa ana mwezi mmoja tu haijasambaa mwili wote unaweza kupima kumbe damu uliyoiminya ni salama ila ile iliyobaki labda ilikuwa inazunguka maeneo mengine ya mwili ni positive, hivyo ukajikuta majibu yanaonekana negative kumbe ndani ya mwili huo kuna positive lakini ukimwi upo initial stages tu. kama ukiona demu ameonekana negative, usipige kavu, piga na mpira.

vilevile, usiogope tu ngoma, siku hizi hata kama mtu hana ngoma anayo hepatitis, ugonjwa wa ini unaoenezwa kwa ngono ambao ni mbaya kuliko ngoma kwani hauna arv....cha muimu ni kuacha ngono nje ya ndoa tu ndio suluhisho. mwisho, kama umeshapiga kavu mzee, nakushauri kaa miezi mitatu nenda kapime, inawezekana umeshanasa.

nitarudi badae kwajili yako mkuu...!!?? una sema kuna sehemu amna ukimwi kwenye damu..??? ww ni waku chapa sana....!!! kama jambo lipo njee ya uwezo wako ni bora uwa achie wanao jua ili na ww uweze jifunza kupitia wao..!!!
 
nitarudi badae kwajili yako mkuu...!!?? una sema kuna sehemu amna ukimwi kwenye damu..??? ww ni waku chapa sana....!!! kama jambo lipo njee ya uwezo wako ni bora uwa achie wanao jua ili na ww uweze jifunza kupitia wao..!!!

tunakusubir Mkuu, wahi uokoe watu wa Mungu.
 
Madokta na Wataalafu wa Afya:
je ni salama kutumia hizi Deteminer au Unigold kufanya self test na mwenza wako mkiwa faragha na kuamini majibu?
Nasema hivi maake mimi huwa nafanya hivyo mara nyingi,
na kati ya nnliopima nao,
kuna 2 nliwapata Positive,
1 nlimshauri kwenda kucheki zaid maake huenda ilikuwa sio kweli,
akakuta majibu yalyale pos,
na mwingine sikufatilia majibu yake.
Huwa nnaanza kujipima na kumwomba mwenzang naye apime,
vipimo hivi hutumia tone dogo la damu toka kidole mkono wa kushoto,
Je wataalamu njia hii mnashauri nn

kama ww sio mshauri nasaha, na huna vyeti vya kusibitisha umeenda kozi za masuali hayo, huyo dada akienda kujiua na ikafahamika ni baada ya ww kumpima, utaozea jela.
 
vipimo hivi huwa vinadanganya, hasa ukiona negative. ila ukiona imeonyesha positive, ujue ni kweli havidanganyi. nasema hivi kama vimeonyesha negative usiamini kwasababu wakati mwingine ngoma huwa inaonekana baada ya miezi mitatu tangu mtu ashike, hivyo kama amenasa ana mwezi mmoja tu haijasambaa mwili wote unaweza kupima kumbe damu uliyoiminya ni salama ila ile iliyobaki labda ilikuwa inazunguka maeneo mengine ya mwili ni positive, hivyo ukajikuta majibu yanaonekana negative kumbe ndani ya mwili huo kuna positive lakini ukimwi upo initial stages tu. kama ukiona demu ameonekana negative, usipige kavu, piga na mpira.

vilevile, usiogope tu ngoma, siku hizi hata kama mtu hana ngoma anayo hepatitis, ugonjwa wa ini unaoenezwa kwa ngono ambao ni mbaya kuliko ngoma kwani hauna arv....cha muimu ni kuacha ngono nje ya ndoa tu ndio suluhisho. mwisho, kama umeshapiga kavu mzee, nakushauri kaa miezi mitatu nenda kapime, inawezekana umeshanasa.

Unasema Determine ikiwa positive basi ni true positive? Unajua kama ina high senstivity? Kama vitu hutuvijui bora tunyamaze tu kuliko kudanganya watu
 
kama ww sio mshauri nasaha, na huna vyeti vya kusibitisha umeenda kozi za masuali hayo, huyo dada akienda kujiua na ikafahamika ni baada ya ww kumpima, utaozea jela.

Lazima akaozee jela. Tena kibaya inaweza kuwa kampa majibu ambayo ni false positive. Alafu hajui kuelezea nini maana yake wala hajui kumshauri. Kuna mwingine ukimpa hayo majibu hana moyo tena wa kwenda kituo cha afya mwisho ndio akajiue tu. lakini pia utunzaji wa vile vitu hasa determine ambazo wengi huwa navyo. kwenye lile karasi lake la kununulia kuna kitu maalum kwa ajili ya kuondoa unyenyevu ili kutunza ubora wake. Sasa mtu anamegewa tu na mtu anakaa navyo miezi au mwaka..
 
kama ww sio mshauri nasaha, na huna vyeti vya kusibitisha umeenda kozi za masuali hayo, huyo dada akienda kujiua na ikafahamika ni baada ya ww kumpima, utaozea jela.

wengi naona n wageni wa hiv vpm,
bt mi huwa nawaambia kuwa tunacheki magongjw ya zinaa hasa kaswende kisonono,
majib yakiwa positive,
huwa nasingizia vifaa kuw vbovu, au kutokuwa na uhakika, na hivyo kumshauri zaid kufk kwa wenyewe
 
Kijana umepata wapi kibali cha kuwapima watu ngoma sebuleni kwako.....
Huo udaktari umeupatia wapi wa kukufanya uendeshe vipimo bila tiba sebureni kwako......??
Ukishawapima na ukawagundua kuwa wameathirika huwa unawasaidiaje zaidi ya kuwatangaza vijiweni kwenu......kumbuka kuwa huo unaoufanya sio ustaarabu...
 
Back
Top Bottom