Mbu kwa hiyo na mimi niishi kwa akili na mama Ngina....................? LOL...mzee mwenzangu, kuna pahala pameandikwa "muishi na wake zenu kwa akili!"...
Enhee....huu mkasa haufadhaishi sana iwapo unazingatia huo wosia wa kale...."Uishi na mkeo kwa akili!"
waweza kuta hata mkeo ana nyumba na magari, lakini vyote viko kwa dada, mama na mashoga zake.....
habari haijanishtua, kwani wengi wa wake zetu wana usiri na ni malaika kwenye sura zetu, na iwe hivyo ili sisi na waototo wetu tuishi kwa amani....
YNWA....
nimeshindwa kusoma story vizuri,labda edit na ondoa color