Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Yni hii story imenifanya niwe mdogooooo kama nukta, ila why watu wengine wanakutana na watu waaminifu sana ila wao wanakuwa wanawafanyia mambo yasiyostahili kulingana na uaminifu wao?? sisi binadamu tunahitaji neema ya Mungu tu katika maisha yetu otherwise hutakaa ukamuamini mtu yeyote huku duniani......