happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,384
Moyo wa binadamu ni kichaka, unajaza mambo mengi na siri za ajabu. Tatizo huja pale siri inapovuja. Wanandoa wajitahidi kuwa waaminifu katika ndoa zao. Kila mmoja akae akijua Mungu hamfichi mnafiki, hata ukijifanya unajua kutunza/kuficha maovu yako; elewa kuna siku kila kitu kitakuwa hadharani na kinaweza kuleta madhara makubwa. Wana JF badilikeni kupitia habari hii.