Nikae muda gani ndo nitumie hii pesa?

Nikae muda gani ndo nitumie hii pesa?

Joined
Apr 23, 2025
Posts
17
Reaction score
16
Habari zenu. Nina account mbili za miongoni mwa benki kubwa hapa nchini.

Kati ya hizo account mbili ni Moja pekee huwa naitumia mara Kwa mara Kwa kuweka na kutoa pesa.

Kuanzia mwezi April mwaka Jana Ile account ambayo siitumii mara Kwa mara imekuwa ikipokea pesa ambazo sijui mtumaji ni nani.

Kwa kuwa nimejiunga na sim banking nimekuwa natumiwa msg Kila pesa zinapoingia na nilikuwa napuuza nikiamini kama nimtu au benki wenyewe wamekosea watanitafuta ila kinyume chake hakuna anayenitafuta na pesa inaendelea kuingia Kwa nyakati tofauti tofauti.

Pesa hii inaweza kuingia hata mara mbili ndani ya mwezi na huwa inabadilika kiwango Kwa Kila muamala, mfano mwezi huu inaweza iingie laki 3,mwezi mwingine elfu60 n.k.

Nawaza niende benki husika kuwaeleza, niitumie au niendelee kuisikilizia japo tangu ianze kuingia huu ni mwaka Sasa.
 
Habari zenu. Nina account mbili za miongoni mwa benki kubwa hapa nchini.

Kati ya hizo account mbili ni Moja pekee huwa naitumia mara Kwa mara Kwa kuweka na kutoa pesa.

Kuanzia mwezi April mwaka Jana Ile account ambayo siitumii mara Kwa mara imekuwa ikipokea pesa ambazo sijui mtumaji ni nani.

Kwa kuwa nimejiunga na sim banking nimekuwa natumiwa msg Kila pesa zinapoingia na nilikuwa napuuza nikiamini kama nimtu au benki wenyewe wamekosea watanitafuta ila kinyume chake hakuna anayenitafuta na pesa inaendelea kuingia Kwa nyakati tofauti tofauti.

Pesa hii inaweza kuingia hata mara mbili ndani ya mwezi na huwa inabadilika kiwango Kwa Kila muamala, mfano mwezi huu inaweza iingie laki 3,mwezi mwingine elfu60 n.k.

Nawaza niende benki husika kuwaeleza, niitumie au niendelee kuisikilizia japo tangu ianze kuingia huu ni mwaka Sasa.
Nenda kachukuwe bank statement halafu nitakwambia kitu, unaweza usikute hata mia humo.
 
Habari zenu. Nina account mbili za miongoni mwa benki kubwa hapa nchini.

Kati ya hizo account mbili ni Moja pekee huwa naitumia mara Kwa mara Kwa kuweka na kutoa pesa.

Kuanzia mwezi April mwaka Jana Ile account ambayo siitumii mara Kwa mara imekuwa ikipokea pesa ambazo sijui mtumaji ni nani.

Kwa kuwa nimejiunga na sim banking nimekuwa natumiwa msg Kila pesa zinapoingia na nilikuwa napuuza nikiamini kama nimtu au benki wenyewe wamekosea watanitafuta ila kinyume chake hakuna anayenitafuta na pesa inaendelea kuingia Kwa nyakati tofauti tofauti.

Pesa hii inaweza kuingia hata mara mbili ndani ya mwezi na huwa inabadilika kiwango Kwa Kila muamala, mfano mwezi huu inaweza iingie laki 3,mwezi mwingine elfu60 n.k.

Nawaza niende benki husika kuwaeleza, niitumie au niendelee kuisikilizia japo tangu ianze kuingia huu ni mwaka Sasa.
afande,kituo chako kilipokea vipi habari ya kutekwa mdude?
 
afande,kituo chako kilipokea vipi habari ya kutekwa mdude?
Ndg raia,rudi kwenye mada yangu tafadhali. Anyways,hivi hujasikia mheshimiwa flani akifafanua kuwa baadhi ya matukio sio utekaji bali ni 'Store away'?
 
Hiyo pesa kwenye akaunti yako inapita njia tu mkuu. Kuna muhasibu hapo anaiba.

Kama huamini kachukue statement uone kama kuna hela.
Kama kuna michezo kama hii hatupo salama sana.Nitajaribu kufatilia nijue hizo pesa zipo au ni kweli kuna janja janja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom