The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,076
Niite msaliti,mwizi,sio mzalendo au vyovyote ila haya yafuatayo siyafanyi.
1. Silipi kodi.
Sitalipa na huwa silipi kodi ya moja kwa moja au wanaita direct tax. Huo ni utaratibu wangu,silipi na huwa nafanya kadri niwezavyo kuikwepa,nikiuza au kununua sidai lisit,hata nikibanwa sana bora nikubaliane na afsa kodi tuigawane ila isiende serikalini.
2. Siwataji na sitawataja wala rushwa na wakwepa kodi
Hata kama ntamjua mtu anaehujumu uchumi sitamtaja kwa wahusika na wala sina mpango huo isipokua tu waovu kama majambazi.
3. Mimi sio mzalendo.
Kuwa mzalendo maana yake ni kua uwaheshimu viongozi walioko madarakani(profesa shivji). Hivyo basi mimi sio mzalendo na wala sina huo mpango.
4. Sipigi kura na wala sina huo mpango.
Sina mpango wa kuja kupiga kura nchi hii hadi pale ntakapokua nimejiridhisha mwenyewe.
5. Kuwasaidia watu wanaotaka kukwepa kulipa kodi.
Kwa kua nimefanya kazi na watu wa mapato kwa muda,ukijumlisha na kua mimi ni mtu wa mahesabu najua wapi kuna udhaifu wa kukusaidia kutolipa au kukwepa kodi,ntamsaidia watu kadri niwezavyo wakwepe kulipa kodi.
Hayo matano tu. Unaweza kuniitaje?au unaweza kusema nikoje?
Sababu nimegundua ni sawa na kugawa hela kwa mafisadi wa nchi hii. Jadili
1. Silipi kodi.
Sitalipa na huwa silipi kodi ya moja kwa moja au wanaita direct tax. Huo ni utaratibu wangu,silipi na huwa nafanya kadri niwezavyo kuikwepa,nikiuza au kununua sidai lisit,hata nikibanwa sana bora nikubaliane na afsa kodi tuigawane ila isiende serikalini.
2. Siwataji na sitawataja wala rushwa na wakwepa kodi
Hata kama ntamjua mtu anaehujumu uchumi sitamtaja kwa wahusika na wala sina mpango huo isipokua tu waovu kama majambazi.
3. Mimi sio mzalendo.
Kuwa mzalendo maana yake ni kua uwaheshimu viongozi walioko madarakani(profesa shivji). Hivyo basi mimi sio mzalendo na wala sina huo mpango.
4. Sipigi kura na wala sina huo mpango.
Sina mpango wa kuja kupiga kura nchi hii hadi pale ntakapokua nimejiridhisha mwenyewe.
5. Kuwasaidia watu wanaotaka kukwepa kulipa kodi.
Kwa kua nimefanya kazi na watu wa mapato kwa muda,ukijumlisha na kua mimi ni mtu wa mahesabu najua wapi kuna udhaifu wa kukusaidia kutolipa au kukwepa kodi,ntamsaidia watu kadri niwezavyo wakwepe kulipa kodi.
Hayo matano tu. Unaweza kuniitaje?au unaweza kusema nikoje?
Sababu nimegundua ni sawa na kugawa hela kwa mafisadi wa nchi hii. Jadili