Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,405
- 88,864
Ni kweli uyasemayo, binafsi naweza sema nipo busy sana na mambo yangu, nawafahamu wadada sana tu mambo ya umbea sijui makitu gani huko, hapa tu wanasema najishaua mara mtu akununie asa ndy maana kama Sina kazi nalala tu ndani kwangu kimya
Haiwezi kutumika hapo mkuu tusifarijiane tuambiane tu ukweli, huyo sio mkimya na hajakosa chakukuambia ila ishu ni hana sababu yakuongea na ww ndo maana neno hilo likamtoka, hao ambao wanazungumziwa hapo ukiuliza swali hawezi kuacha kujibu bali hana ile nani yakufanya swali lizae swali mpaka mwisho inakuwa mazungumzo yeye ukimuuliza atajibu lile swali ulilomuuliza kama linahitaji yes na no atajibu hivyo bila kuongeza maelezo ya ziadahilo mkuu limenifanya niliwaze sana, sasa hapa nimeambuwa sijui introvet af sielewi wanachoongea
Si ugugoSijakuelewa mkuu kuna maneno umetumia ni mageni kwangu,
Hapa umenena mkuuShida inakuja pale Senguine Extroverted anapodate na Meliconile Introverted..Mkuu haya mambo ya Personalities yana effects kubwa kwenye mahusiano ya watu. Kama unaona hutaweza kumvumilia bora umuache atapata wa kufaana nae.. Kumbuka personality sio Behaviour ambayo unaweza badirisha..
Mkuu kama hutojali naomba utupe ufafanuzi wa hizo personalitiesShida inakuja pale Senguine Extroverted anapodate na Meliconile Introverted..Mkuu haya mambo ya Personalities yana effects kubwa kwenye mahusiano ya watu. Kama unaona hutaweza kumvumilia bora umuache atapata wa kufaana nae.. Kumbuka personality sio Behaviour ambayo unaweza badirisha..
Siku hizi umekuwa mcharuko?
Pita pita kwenye mada zangu kuna sehemu nineelezea japo kwa ufupi. Labda siku nikipata muda nitaandika kwa kirefuMkuu kama hutojali naomba utupe ufafanuzi wa hizo personalities
AsantePita pita kwenye mada zangu kuna sehemu nineelezea japo kwa ufupi. Labda siku nikipata muda nitaandika kwa kirefu