Niishi nae vipi huyu mwenza

Niishi nae vipi huyu mwenza

Shida inakuja pale Senguine Extroverted anapodate na Meliconile Introverted..Mkuu haya mambo ya Personalities yana effects kubwa kwenye mahusiano ya watu. Kama unaona hutaweza kumvumilia bora umuache atapata wa kufaana nae.. Kumbuka personality sio Behaviour ambayo unaweza badirisha..
Huyu Ni mimi MTU mpole saanaa sitamuweza jamani yaani mkimya kama kamwagiwa maji ya baridi hapana!bora awe mpole wa kawaida huyo wa hvyo atanipa mtihani jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Ni mimi MTU mpole saanaa sitamuweza jamani yaani mkimya kama kamwagiwa maji ya baridi hapana!bora awe mpole wa kawaida huyo wa hvyo atanipa mtihani jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli watu wa hivi ni tabu sana kwenye mahusiano..ndio maana ukiangalia famous melancolin introvertes wengi hawakua na mahusiano..waliishi maisha ya upweke. Ni vigumu sana kuendana nao..
Mahusiano raha yake uchangamfu na mawasiliano mazuri.
Sasa huko kwenye upole inakua ni beahaviour sio personality tena mkuu
 
[emoji3][emoji3] umenikumbusha kipindi nipo chuo nimepanga watu wa hiyo nyumba sikuwa nawajua ikafikia wakati hata hela ya umeme hawaji kunidai eti wananiogopa na naringa kumbe wala sinaga story nyingi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani mimi kabisa bila chenga, sipendi kuongea, hadi hapa ninapokaa wanajua naumwa au naringa kabisa maana ni mkimya sana, kwanza kuna wapangaji wenzangu siwafahamu maana nikiingia room kwangu ndy sitoki labda mtu anigongee hodi.
Mi naongea sana sema naweza nikakaa sehemu mtu akajua mi mpole na naringa. Ila ukinikuta na rafiki zangu hutaaamini uchizi unaondelea hapo.
Majirani ndo sijawahi kuwa na mazoea nao kabisa. Rafiki zangu wamenisema mpaka wamechoka ila ndo Niko hivyo siwezi kuzoeana na majirani. Kuna mama mmoja hapa anajaribu kunizoea lakini naona kuna muda na yeye anachoka.
Waliendaga kumwambia msimamizi wa nyumba sionekani nyumbani na naringa (imagine sishei nao chochote kile ila wanataka nizoeane nao). Kuna muda nakaa ndani nawasikia wanaulizana kama ndani kwangu kuna mtu nakauka kau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mimi Bora wanaume naweza zoeana nao sio wanawake. Kuzoeana sana ndo mwanzo wa kujuana kuleteana umbea na mimi huwa naepuka sana ugomvi na watu. Njia pekee ya kuepuka maugomvi yasiyo na lazima ni kukaa kimya.
Ila wanaume nawazoea ila mpaka nimuelewe hana ushamba hapo hata kwako ntakuja kukaa.
Nilishazoeana na kaka mmoja alikua mtoto wa mwenye nyumba. Hata wanawake zake walikua hawaamini kama mimi sio mke mwenzao.
Yani sigana Story na mtu zaidi ya wadada wawili ambao naishi nao, tena hadi waje kwangu, kwanza wote wanaume naongea nao kitu gani jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usindanganywe mkuu hiyo ni namna yakufukuza mtu mzima, kama kusoma hujui hata picha huoni? Mwanamke hata kama ni mkimya kiasi gani anaweza asiwe na chakukuambia lakini hawezi kukuambia hauna marafiki? Kukuambia hivyo inamaanisha anakuruhusu kwenda kwingine either kwa kampan au kwa mapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mimi Bora wanaume naweza zoeana nao sio wanawake. Kuzoeana sana ndo mwanzo wa kujuana kuleteana umbea na mimi huwa naepuka sana ugomvi na watu. Njia pekee ya kuepuka maugomvi yasiyo na lazima ni kukaa kimya.
Ila wanaume nawazoea ila mpaka nimuelewe hana ushamba hapo hata kwako ntakuja kukaa.
Nilishazoeana na kaka mmoja alikua mtoto wa mwenye nyumba. Hata wanawake zake walikua hawaamini kama mimi sio mke mwenzao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli uyasemayo, binafsi naweza sema nipo busy sana na mambo yangu, nawafahamu wadada sana tu mambo ya umbea sijui makitu gani huko, hapa tu wanasema najishaua mara mtu akununie asa ndy maana kama Sina kazi nalala tu ndani kwangu kimya
 
Mi naongea sana sema naweza nikakaa sehemu mtu akajua mi mpole na naringa. Ila ukinikuta na rafiki zangu hutaaamini uchizi unaondelea hapo.
Majirani ndo sijawahi kuwa na mazoea nao kabisa. Rafiki zangu wamenisema mpaka wamechoka ila ndo Niko hivyo siwezi kuzoeana na majirani. Kuna mama mmoja hapa anajaribu kunizoea lakini naona kuna muda na yeye anachoka.
Waliendaga kumwambia msimamizi wa nyumba sionekani nyumbani na naringa (imagine sishei nao chochote kile ila wanataka nizoeane nao). Kuna muda nakaa ndani nawasikia wanaulizana kama ndani kwangu kuna mtu nakauka kau.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani kumbe tupo wengi wenye hii tabia, Me sipendi tu kuongea ongea kwanza nikiongea sana taya zinauma, ila nimegundua nisipo kuwepo wananiulizia sana tu, kuna siku natoka usiku nikakutana na wakaka tunakaa nao ila nilikuwa siwafahamu kama ni wapangaji wenzangu, wananiuliza unaenda wapi usiku huu nikawajibu narudi, asa ww katafute wanaume huko wakati umetuacha huku.
 
Wanawake wengi ndo wanaongea sana na kujua kila kitu kisicho na maana humu duniani. Akikukosea ukinyamaza atalalamika, ukigomba atalalamika. Ukikosea ww ukiomba msamaha atalalamika, usipoomba atalalamika. Yaani ilimradi tu aongee yeye. Sasa wewe umepata mkimya unalalamika tena? Be careful with your wish.
 
Maybe tatizo ni hili







Amechoka story....if you know what i mean

Sidhan kama hili ni tatizo
 
Usindanganywe mkuu hiyo ni namna yakufukuza mtu mzima, kama kusoma hujui hata picha huoni? Mwanamke hata kama ni mkimya kiasi gani anaweza asiwe na chakukuambia lakini hawezi kukuambia hauna marafiki? Kukuambia hivyo inamaanisha anakuruhusu kwenda kwingine either kwa kampan au kwa mapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
hilo mkuu limenifanya niliwaze sana, sasa hapa nimeambuwa sijui introvet af sielewi wanachoongea
 
They are people who are very observant. Yaani yeye ana uwezo wa kusoma energy ya mtu na akajua una shida gani, anakuona hauna issue au umepoteza direction kwenye maisha yako ndio maana anakushauri utafute kitu cha kufanya.

You are lacking something inside of you and you are seeking it outside of yourself ndio maana unajikuta tu unataka kuongea ongea tu story.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta uzi kama kama baadhi ya wachangiaji waliotangulia walivyosema ,wewe na huyo mpenzi wako ni watu wawili wa aina tofauti na kibaya zaidi personality sio tabia kama utaweza kuibadili, huyo ni wa hivo tu, anahitaji au unahitaji mtu ambae utakuwa na chemistry nae na mtaweza kuendana.

Mapenzi si tu kuwa unampenda mtu au anakupenda sometimes inabidi muwe compacted to each other , utamlaumu bure binti wa watu lakini hatobadilika course hivyo ndivyo alivyo.

Nazungumza hivi kama muhanga wa hili jambo na nilishaleta uzi hapa miaka michache iliyopita, shortly niliweza kuwa kwenye uhusiano for four fuqin years na mtu ambae hatukuwa na chemistry nae alinipenda yeah, nilimpenda pia, i tried kumfanya awe kama ninavyohitaji buh it didn't work out zaidi ya kuishia kulaumiana na kugombana tu, sikuwa tayari kuachana nae coz bado nilimpenda though ukweli ni kuwa sikufurahia yale mahusiano, niligundua hakuwa aina ya mtu niliyomtaka.

Baada ya miaka minne ilibidi nisacrifice tu, nilikubali kuumia lakini lengo nijitoe kwenye yale mahusiano ili nipate mtu ambae tulikuwa tunacop, aliumia sanaa kwa upande wake but i bet now atakuwa ameelewa lengo langu.
 
Back
Top Bottom