sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,431
- 5,073
Napata wakati mgumu katika mazungumzo yetu.
Yani sio muongeaji kabisa, hadi mimi ndo niulize au nianzishe mada, ukimuuliza swali hasa la msingi anaweza akachukua ata sekunde 20 yuko kimya ndo ajibu, au asikujibu kabisa akwambie atakujibu siku nyingine. Kuna muda anasema kabisa kua sijakumisi bado.
Nahisi yuko tofauti sana na binadamu wengine anaishi ulimwengu wa kivyake vyake. Pia hii inanifanya nisiwe sure kama ananipenda au la. Muda mwingi mimi nakua ndo mzungumzaji na kutawala mazungumzo.
Kuna muda ukimwambia kua hua namfikiria sana anasema kwani sina marafiki wa kukaa nao kuongea. Sasa sijui ananibagua au ndo mtu wa vipi. Ananipa ugumu sana kumzoea.
Ni mara chache sana mtaongea nae aanzishe mada lakini hazizidi sana.
Hataki sehemu yenye watu wengi
Yani sio muongeaji kabisa, hadi mimi ndo niulize au nianzishe mada, ukimuuliza swali hasa la msingi anaweza akachukua ata sekunde 20 yuko kimya ndo ajibu, au asikujibu kabisa akwambie atakujibu siku nyingine. Kuna muda anasema kabisa kua sijakumisi bado.
Nahisi yuko tofauti sana na binadamu wengine anaishi ulimwengu wa kivyake vyake. Pia hii inanifanya nisiwe sure kama ananipenda au la. Muda mwingi mimi nakua ndo mzungumzaji na kutawala mazungumzo.
Kuna muda ukimwambia kua hua namfikiria sana anasema kwani sina marafiki wa kukaa nao kuongea. Sasa sijui ananibagua au ndo mtu wa vipi. Ananipa ugumu sana kumzoea.
Ni mara chache sana mtaongea nae aanzishe mada lakini hazizidi sana.
Hataki sehemu yenye watu wengi