Niionavyo google baada ya miaka 10

Niionavyo google baada ya miaka 10

Co kweli mkuu Microsoft ni mtaalam ila hamfikii google coz software zake nying zinaeleweka na ni za kawaida atleast ungeniambia adobe coz kile kitu cha photoshop ni balaa
 
Nilijua chief hautakosekana Ila unavyosema mwisho wa Google unauona camini juh ya Hilo Khomeini nikutajie software za Google zilizompiga bao Microsoft chrome IPO jiu ya ie picasa IPO huh ya photoviwer ya Microsoft adroid vs windows 7 mobile csjua.coz cjawah kutumia window 7 mobile Ila ukiangalia cmu nying zna mkataba na adroid os turudi JFK search engine googlrtsearch ni bora Mara mia Julio bing halo bado cjagusia googlearth wale socialnetwork inayokuja juu ya g+
 
Nilijua chief hautakosekana Ila unavyosema mwisho wa Google unauona camini juh ya Hilo Khomeini nikutajie software za Google zilizompiga bao Microsoft chrome IPO jiu ya ie picasa IPO huh ya photoviwer ya Microsoft adroid vs windows 7 mobile csjua.coz cjawah kutumia window 7 mobile Ila ukiangalia cmu nying zna mkataba na adroid os turudi JFK search engine googlrtsearch ni bora Mara mia Julio bing halo bado cjagusia googlearth wale socialnetwork inayokuja juu ya g+

mwanzo google na microsoft walikua kama patner kila mtu anafanya kivyake kuuweka ulimwengu wa technologia kuwa safe place ila siku za karibuni kumetokea conflict nyingi za ki interest kwa kampuni hizi ndio mana kila mmoja anataka kumpiku mwenzake kwa vitu ambavyo microsoft ameanza sku nyingi google hamfikiii microsoft mfano operating system za pc software kama ms word na vyenginevyo, same upande wa google kuna vitu kavianza sku nyingi microsoft hamfikii mfano google search na maps.

lakini mkuu huoni game linachange???

1. tuanze na search engine hakuna ubishi kua google ni ya kwanza kwa search engine lakini je hebu tuangalie market share inasemaje google december 2010 alikua na 66.5 mpaka mwezi wa sita mwaka huu ana 66.6 asilimia so kuna ongezeko la 0.1 wakati bing alikua na 13.6 na mwaka huu ana 15.6 ongezeko la 2 asilimia. so unaona nani anaongezeka sana

zamani ukiwa na portal na kutoa email service unapata watu wengi wa kusearch mfano yahoo na aol sku hizi mambo yamechange samsung htc huwei bla bla bla motorola blabla xiaomi malizia android zote zipo kimasilahi zaidi kuprefer google kuliko bing zilivyoundwa sasa microsoft nae katoa wp8 so wachambuzi wamepredict kutatokea huge boost kwa bing na windows 8 laptop naona zina kibutton cha search ukiminya tu upo bing faster so mambo yanachange mkuu.


2. tuje kwenye map. duniani kuna map kubwa 3 yaani google map, navtech na atlas. nkisema atlas ni maarufu bongo wana vitabu vya ramani aka yao ni tomtom ukipenda ilost map wazee wa ios6. tuachane na atlas tuje navtech vs google map. opss mesahau navtech ndio inayotengeneza nokia map ni kampuni ya my dear nokia

nokia alichofanya hapa ni kuifanya navtech kua open source yani cha wote kila mtu atumie database yao even google map zamani walikua wakitumia navtech so hapa nokia akapata mapatner wengi wakiwemo oracle (alodhulumiwa na google) amazon kindle fire (android yenye nokia map) bing map ya microsoft, asilimiaa 80 ya magari ya dunia ikiwemo bmw, volkswagen, toyota na wengine wengi (msishanngae ailimia 80 ya magari ya dunia yanatumia nokia map)

eti mkuu android nazo zimeanza tumia nokia map is it good sign kwa google? na juzi nokia parking imezinduliwa so asilimia ya mapatner wa navtech inategemewa kuongezeka zaidi


3. twende software "KO" mtu mzima google katoa google docs kucompete na microsoft office ila microsoft akamjibu na skydrive ilikua ni kama ko maaana alipitwa features zote google take ur time google kuhusu hii ishu ndo utajua kwa app google bado cha mtoto hapa kuna ishu nyingi nyingi ila kuna jamaa ana makala yake inaitwa the empire strike back ameelezea vizuri jinsi microsoft walivokua wanajijenga kwa kuwahadaa watu na vista na window 7 wao wakijijenga kwa windows 8 uone kichwa ozzie alivofanya mambo yake

Microsoft vs. Google: The empire strikes back | Windows - InfoWorld
 
Usijisifu una mbio msifu anayekukimbiza,Competition sio rahisi kihivyo jamani,after 10 years google tutaisahau na itaonekana ni Oldiz,watu wametuliaaaaa tuliiii wanaumiza vichwa.
 
yahoo inakuwa acquired rasmi na bing microsoft mwaka 2015..... mkakatin wa bill gates ku compete na gugo kwenye search engenes...
 
sikuwa najua kama kampuni ya apple ni tajiri kuzidi microsoft naona apple.
 
teh teh hapo naona utata! chief mm mnifumbue kuhusu linux ! who is a rightful owner wa hii kampuni! na kuhusu oracle kudhurumiwa na google kwan googe kwan iliisha vp maana last time nliskia oracle kampeleka google mahakamani kuhusu kukopi codez za java na kuzitumia kwenye androids! kesi iliishia wapi mkuu!!!! :ranger:
 
Last edited by a moderator:
Kama ni hvyo bas shughuli ipo ila wakukuruke wee cdhan kawa watampata kirahs gugo ktk search engine na gugo map labda huko kwingine watatoa upinzani
 
sikuwa najua kama kampuni ya apple ni tajiri kuzidi microsoft naona apple.

Sio microsoft tu waliizidi hadi serikali ya marekani hawa jamaa wanawauzia watu michina an then kwa bei kubwa

kuna jamaa wanajiita ifix hawa kila simu mpya ikitoka wanaichangua hardware moja moja then price inakua calculated. Hardware za iphone 5 zimecost dola 200 so tukijumlisha os na app za inbuilt iphone ni kama dola 300 lakini sokoni inaanzia dola 800 ina maana kuna faida kama dola 500 kwa kila device. Iphone wameuza device milion 8 kwa siku 3 so milion 8 tukizidisha kwa 500 ni sawa na bilion 4 ina maana ndani ya hizo siku 3 apple wamepata faida ya trillion 6 za kibongo after week watakua washaizidi budget ya tanzania. So hio ni iphone bado ipad bado apple bado mac bado makoro koro mengine
 
teh teh hapo naona utata! chief mm mnifumbue kuhusu linux ! who is a rightful owner wa hii kampuni! na kuhusu oracle kudhurumiwa na google kwan googe kwan iliisha vp maana last time nliskia oracle kampeleka google mahakamani kuhusu kukopi codez za java na kuzitumia kwenye androids! kesi iliishia wapi mkuu!!!! :ranger:

Kesi kashinda google mwenye hela si ndo mfalme even mi sio developer lakini naweza prove android application zinatumia java kias flani maana ukitumia winrar ukaextract apk na kutumia winrar kuextract java they look the same

Naona oracle nae kashamdisi google yupo na nokia weekend hii wanatia mkataba
 
Last edited by a moderator:
Kama ni hvyo bas shughuli ipo ila wakukuruke wee cdhan kawa watampata kirahs gugo ktk search engine na gugo map labda huko kwingine watatoa upinzani

Mkuu hiyo post jana nimetumia google chrome na kusearch nimetumia google so mi pia maisha yangu naitegemea kwenye aspect nyingi

Its not completely watafall ila huko anakokuchokonoa google siko patamtokea puani
 
Ok ey. Which z beta 4 u windows phone o android
 
I think watu wamekua flexible sana when it comes to technology. The once market dominators are cracking heads to maintain their market share. The software market has been so invaded and its changing every waking hour.
So far google managed to intrude the market and claim his share and still expanding. There is more to come expectedly.
Stick around and find out.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sio microsoft tu waliizidi hadi serikali ya marekani hawa jamaa wanawauzia watu michina an then kwa bei kubwa

kuna jamaa wanajiita ifix hawa kila simu mpya ikitoka wanaichangua hardware moja moja then price inakua calculated. Hardware za iphone 5 zimecost dola 200 so tukijumlisha os na app za inbuilt iphone ni kama dola 300 lakini sokoni inaanzia dola 800 ina maana kuna faida kama dola 500 kwa kila device. Iphone wameuza device milion 8 kwa siku 3 so milion 8 tukizidisha kwa 500 ni sawa na bilion 4 ina maana ndani ya hizo siku 3 apple wamepata faida ya trillion 6 za kibongo after week watakua washaizidi budget ya tanzania. So hio ni iphone bado ipad bado apple bado mac bado makoro koro mengine
Hongera chief naona sasa umekuwa mkweli kuhusu unachoongea na siyo tuu kusifia nokia......
 
Yaaaani google sioni ukali wao.... mimi nitakuambia 2 mtazamo wangu na android os ya simu. Yani mwaka huu 2 makampuni kibao yametumia hiyo os ya android na yote kama yanachemsha.... hiki ni kalist kadogo ninachokakumbuka
Droid 2, Droid X, Droid X2, Droid Bionic, Droid Razr, and Atrix. Alafu nikaona LG nao walishow some love with myTouch, Optimus, and Thrive. Not to mention Rezound, Evo 4G, Evo 3D, Droid Incredible, Droid Incredible 2, Thunderbolt, and Droid Eris. And finally the Sumsung Galaxy S, Galaxy S2, Galaxy S3, Captivate,Note, Infuse 4G na Droid Charge. Yani bahati ya makampuni yote haya na bado wote wanasumbuliwa na kitu Apple na sijui simu kama mbili hivi au tatu kwenye iphone line.....iphone 3gs,iphone 4 na iphone4s bila kusahau iliyotoka tuu juzi juzi iphone 5 nazani google wanahali mbaya........ Mtazamo wangu 2
 
Mkuu siku zote humu hua tunajadili hardware, ubora, ugunduzi wa vitu vipya na mambo ya namna hiyo lakini linapokuja suala la statistics no way huwezi bishana nalo maana kama mtu kauza simu 10 kauza kweli

Google nexus most advanced tablet kwa dola 199 imeuza copy 135,000 what a shame walimcheka nokia alivouza lumia 600,000 pindi zilivotoka ona wao sasa.

So statistic ni statistic ziachwe kama zilivo
Hongera chief naona sasa umekuwa mkweli kuhusu unachoongea na siyo tuu kusifia nokia......
 
Sio microsoft tu waliizidi hadi serikali ya marekani hawa jamaa wanawauzia watu michina an then kwa bei kubwa

kuna jamaa wanajiita ifix hawa kila simu mpya ikitoka wanaichangua hardware moja moja then price inakua calculated. Hardware za iphone 5 zimecost dola 200 so tukijumlisha os na app za inbuilt iphone ni kama dola 300 lakini sokoni inaanzia dola 800 ina maana kuna faida kama dola 500 kwa kila device. Iphone wameuza device milion 8 kwa siku 3 so milion 8 tukizidisha kwa 500 ni sawa na bilion 4 ina maana ndani ya hizo siku 3 apple wamepata faida ya trillion 6 za kibongo after week watakua washaizidi budget ya tanzania. So hio ni iphone bado ipad bado apple bado mac bado makoro koro mengine

Nina mashaka na kauli yako ya kwamba wanaizidi serikali ya marekani mpunga sa kama apple ambayo ni kampuni ya 45 kwa utajiri unadai inaizidi serikali ya marekani ela je ya kwanza utasemaje. Ila apple kwa utajiri walio nao sasa wanazidi GDP ya swissland
 
Back
Top Bottom