i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 290
Chief alikuwa anaongelea ile hela ambayo Apple wanayo kwenye bank accounti kwa ajili ya matumizi imezidi ile waliyonayo serikali ya marekani kwa matumizi. Makampuni mengine yanaweza kuwa matajiri zaidi lakini ela waliyonayo kwenye banki kwa kutumia ndo kidogo mpaka mikopo au wauze uzee shea za kampuni ndo waongeze ela ya bataNina mashaka na kauli yako ya kwamba wanaizidi serikali ya marekani mpunga sa kama apple ambayo ni kampuni ya 45 kwa utajiri unadai inaizidi serikali ya marekani ela je ya kwanza utasemaje. Ila apple kwa utajiri walio nao sasa wanazidi GDP ya swissland