Niionavyo google baada ya miaka 10

Nina mashaka na kauli yako ya kwamba wanaizidi serikali ya marekani mpunga sa kama apple ambayo ni kampuni ya 45 kwa utajiri unadai inaizidi serikali ya marekani ela je ya kwanza utasemaje. Ila apple kwa utajiri walio nao sasa wanazidi GDP ya swissland
Chief alikuwa anaongelea ile hela ambayo Apple wanayo kwenye bank accounti kwa ajili ya matumizi imezidi ile waliyonayo serikali ya marekani kwa matumizi. Makampuni mengine yanaweza kuwa matajiri zaidi lakini ela waliyonayo kwenye banki kwa kutumia ndo kidogo mpaka mikopo au wauze uzee shea za kampuni ndo waongeze ela ya bata
 
Nina mashaka na kauli yako ya kwamba wanaizidi serikali ya marekani mpunga sa kama apple ambayo ni kampuni ya 45 kwa utajiri unadai inaizidi serikali ya marekani ela je ya kwanza utasemaje. Ila apple kwa utajiri walio nao sasa wanazidi GDP ya swissland

Mkuu tunaposema ana hela tunamaanisha mapato na matumizi

Kiuchumi tz tuna average ya trilion 13 kama budget yetu je ina maana hii ndo value ya tanzania? Sio kweli mgodi mmoja tu wa almasi unaweza toa thamani hio

Hapa tunazungumzia kiasi alichokipata kwa mda flani na alivotumia na faida aliopata then tunaconclude apple ana hela kuliko serikali ya marekani.

Ukitaka utajiri wa nchi apple pia ipo marekani so itakua kama nasema sikio kubwa kuliko kichwa.

hii hapa link ya bbc kuwa apple ana hela

BBC News - Apple holding more cash than USA
 
nimewasoma yah nilisoma hiyo kitu kwamba mapato ya apple yamezidi thamani ya gold reserve ya serikali ya US
 
Google pia ni platform ya kutangaza na kutafuta bidhaa za makampuni mbalimbali hata yale ambayo wadau wanadai kuizidi Google.
 
Yaaaani google sioni ukali wao.... mimi nitakuambia 2 mtazamo wangu na android os ya simu. Yani mwaka huu 2 makampuni kibao yametumia hiyo os ya android na yote kama yanachemsha.... hiki ni kalist kadogo ninachokakumbuka
Droid 2, Droid X, Droid X2, Droid Bionic, Droid Razr, and Atrix. Alafu nikaona LG nao walishow some love with myTouch, Optimus, and Thrive. Not to mention Rezound, Evo 4G, Evo 3D, Droid Incredible, Droid Incredible 2, Thunderbolt, and Droid Eris. And finally the Sumsung Galaxy S, Galaxy S2, Galaxy S3, Captivate,Note, Infuse 4G na Droid Charge. Yani bahati ya makampuni yote haya na bado wote wanasumbuliwa na kitu Apple na sijui simu kama mbili hivi au tatu kwenye iphone line.....iphone 3gs,iphone 4 na iphone4s bila kusahau iliyotoka tuu juzi juzi iphone 5 nazani google wanahali mbaya........ Mtazamo wangu 2

Google's Android surged to a whopping 68% share of the global smartphone
market last quarter. That's four times the 17% market share held by Apple
US peke yake wana 52.8% sasa nani anahali mbaya? Alaf angalia android was a new comer some 5years back now
 
The future of google is bright coz even currently it is the second most valuable tech company in the world behind apple and here is why-http://wallstcheatsheet.com/stocks/heres-why-google-is-beating-microsoft.html/
 
Nimejifunza meng sana kutokana na hii post thanx kwa wote mliochangia. Endeleeni kutupa maujanja bt I admire gugo no matter hat
 
Kesi kashinda google mwenye hela si ndo mfalme even mi sio developer lakini naweza prove android application zinatumia java kias flani maana ukitumia winrar ukaextract apk na kutumia winrar kuextract java they look the same

Naona oracle nae kashamdisi google yupo na nokia weekend hii wanatia mkataba

nokia hana direct beef na google. But anashirkiana na maadui wa google kama oracle na micro soft . Dah hapo google atamkondea nokia had bas. Samsung na htc ndo pupets wapo kwote . Kwa google na kwa microsoft
 
Google's Android surged to a whopping 68% share of the global smartphone
market last quarter. That's four times the 17% market share held by Apple
US peke yake wana 52.8% sasa nani anahali mbaya? Alaf angalia android was a new comer some 5years back now
usisahau na scandle ya android kua wanaship bidhaa nyingi an then bidhaa zinauzwa kwa whole seller ambao wanaziuza kwa retailers lakini hazifiki kwa final consumer bali zinaishia madukani. hii inafanya makampuni kama samsung kuonekana yanauza sana lakini kumbe vitu vimejaa kibao dukani. na upya wao ndo umewasaidia.

ona android sasa hivi ndio os ya mchina kuna aina si chini ya 500 ya smartphone na tablet za kichina zinazotumia android so market share hio pia ufanye consideration

then sio kweli more than 60% ya usa smartphone share ni iphone do you think why? nakupa reason kubwa ni kwamba simu zao hazipitwi na wakati hadi leo mtu ana iphone3gs lakini anadunda nayo inasupport latest things lakini samsung galaxy ya 2008 ukieka leo unaeza tamani kuiwashia moto.

na usimsahau the mightiest nokia kuna watu 1.3 billion duniani wana nokia me myself nna e71 ya toka 2008 hadi leo haimjui fundi nzimaa nimehack nimeifanya uhuni wote lakini kitu kinadunda

baada ya maelezo hayo sasa tujiulize durability na simu kutopitwa na wakati kuna affect vp marketshare

tuchukulie mfano mdogo mwaka huu zimeuzwa simu 100
50 za samsung
40 nokia
10 iphone

then zikaharibika samsung 10 na watu 20 wa samsung wakaona zimepitwa na wakati
then mwaka mwengine zikauzwa simu 100
50 samsung
40 nokia
20 iphone
10 iphone

use nokia atakua na 80 na samsung 70 japo samsung kauza sana
 
True now mpaka gtide na techno naona wanatumia androids. Kama kuna hii g tide ina androids na capacitive touch just 4 160 tu

ila wanacho kuja kuua ni asili ya mchina haiachwi. Mfano unakuta camera 2.mp af front kamera 0.3mp3. Then ukija network mwisho edge. Mbili tu nmeona zna cdma cjui LTE watafikia lini... Ukija kwenye batery kituko pia. 1000 amh. Hasa hapo kwa smartphone batery kama hlo mbona kasheshe.
Home page yao hii hapa

G TIDE
 
karibia apple ina under go recession period maana naona imefikia climax kitakachofuata ni kuanguka.
Mimi naona uzuri wa apple vitu vyake ni unique kwakuwa havifanani na vitu vingine.
Mfano kwa upande wa android nikiwa na samsung inayo run android V 2.1 nimeinunua lak 3 halafu mwingine akiwa na mchina wake anaye runa android V 2.1 aliyonunua elfu 80, yani we are almost the same.
Na nadhan watu wengi hawaangalii hardware performance. Yani hii haijatofautina na mwenye laptop hp i3 na mwingine mwenye lenovo yake ya kawaida halafu zote zikawa zina run windows 7.
Kwa matumizi ya kawaida zitakuwa almost the same na kwa watu wengi wanatumia hivi vitu kwa matumizi ya kawaida.
Lakini when it comes to apple each product inakuwa na upgraded OS na hardware so wateja wake they real feel the difference na hatoi vitu ovyo ovyo.
Mimi si iphone fan wala mac fan bt nampgia salute. Google has a long way to go mpaka amkamate iphone.
Leo hii iphone akitangaza kwamba ameanza advertisement ambazo atakuwa zinakuwa feeded kwenye simu kama video kwa zile simu mpya atakazo anza kuuza utaona makampuni yatakavyo gombea hiyo nafasi..
 
usisahau na scandle ya android kua wanaship bidhaa nyingi an then bidhaa zinauzwa kwa whole seller ambao wanaziuza kwa retailers lakini hazifiki kwa final consumer bali zinaishia madukani. hii inafanya makampuni kama samsung kuonekana yanauza sana lakini kumbe vitu vimejaa kibao dukani. na upya wao ndo umewasaidia.

ona android sasa hivi ndio os ya mchina kuna aina si chini ya 500 ya smartphone na tablet za kichina zinazotumia android so market share hio pia ufanye consideration

then sio kweli more than 60% ya usa smartphone share ni iphone do you think why? nakupa reason kubwa ni kwamba simu zao hazipitwi na wakati hadi leo mtu ana iphone3gs lakini anadunda nayo inasupport latest things lakini samsung galaxy ya 2008 ukieka leo unaeza tamani kuiwashia moto.

na usimsahau the mightiest nokia kuna watu 1.3 billion duniani wana nokia me myself nna e71 ya toka 2008 hadi leo haimjui fundi nzimaa nimehack nimeifanya uhuni wote lakini kitu kinadunda

baada ya maelezo hayo sasa tujiulize durability na simu kutopitwa na wakati kuna affect vp marketshare

tuchukulie mfano mdogo mwaka huu zimeuzwa simu 100
50 za samsung
40 nokia
10 iphone

then zikaharibika samsung 10 na watu 20 wa samsung wakaona zimepitwa na wakati
then mwaka mwengine zikauzwa simu 100
50 samsung
40 nokia
20 iphone
10 iphone

use nokia atakua na 80 na samsung 70 japo samsung kauza sana

http://finance.yahoo.com/news/worldwide-market-share-smartphones-220747882--finance.html

http://money.cnn.com/2012/05/16/technology/smartphones/index.htm

Hizo link zote zitakwambia ukweli kuhusu market share ya OS za smart phone.
As for manufacturers, Samsung continues to lead among smartphone and non-smartphone OEMs, with 25.6% of the market (down 0.3% since April), followed by LG (18.4%) and Apple (16.3% and up 1.9% since April).

So in US Android inaongoza and handset Samsung inaongoza.
Mfano wako uliotoa hauko realistic kabisa na kwenye market they dont reaspn like that. Ts. True iphone durablity is outstanding bt samsung's products are impacable also when it comes to quality and that is out of queation. Siku hizi watu hawana mpango na kukaa na simu miaka miwili mitatu, wakati technologia inakua kila cku. Zama za kuangalia durabilty kama first and biggest criteria when buying phone zimepitwa na wakati. Siku hizi ni what do u have to offer? From desisgn and applications.

As for nokia my friend hali tete. Samsung has officially become the no 1 phone maker on world. Which nokia had been dominating for 14 years.
 
http://finance.yahoo.com/news/worldwide-market-share-smartphones-220747882--finance.html

http://money.cnn.com/2012/05/16/technology/smartphones/index.htm

Hizo link zote zitakwambia ukweli kuhusu market share ya OS za smart phone.
As for manufacturers, Samsung continues to lead among smartphone and non-smartphone OEMs, with 25.6% of the market (down 0.3% since April), followed by LG (18.4%) and Apple (16.3% and up 1.9% since April).

So in US Android inaongoza and handset Samsung inaongoza.
Mfano wako uliotoa hauko realistic kabisa na kwenye market they dont reaspn like that. Ts. True iphone durablity is outstanding bt samsung's products are impacable also when it comes to quality and that is out of queation. Siku hizi watu hawana mpango na kukaa na simu miaka miwili mitatu, wakati technologia inakua kila cku. Zama za kuangalia durabilty kama first and biggest criteria when buying phone zimepitwa na wakati. Siku hizi ni what do u have to offer? From desisgn and applications.

As for nokia my friend hali tete. Samsung has officially become the no 1 phone maker on world. Which nokia had been dominating for 14 years.

nokia mbona bado yupo! Maana hatakama kapitwa na samsung szan kama wametofautiana sana... Na nokia anataka kurudi

rekebisha na links zako. Zweke ndan ya mabano kama hayaa[hapa weka link]
 
Jamani Naombeni msaada nina Nexus7 tablet - najalibu kutafuta OS kama ms-Word,excel sipati napia siwezi kabisa kuandika docs zangu , nisaidieni je nitapataje kwa wale ambao wameshatuimia hii kitu.
 
http://finance.yahoo.com/news/worldwide-market-share-smartphones-220747882--finance.html

http://money.cnn.com/2012/05/16/technology/smartphones/index.htm

Hizo link zote zitakwambia ukweli kuhusu market share ya OS za smart phone.
As for manufacturers, Samsung continues to lead among smartphone and non-smartphone OEMs, with 25.6% of the market (down 0.3% since April), followed by LG (18.4%) and Apple (16.3% and up 1.9% since April).

So in US Android inaongoza and handset Samsung inaongoza.
Mfano wako uliotoa hauko realistic kabisa na kwenye market they dont reaspn like that. Ts. True iphone durablity is outstanding bt samsung's products are impacable also when it comes to quality and that is out of queation. Siku hizi watu hawana mpango na kukaa na simu miaka miwili mitatu, wakati technologia inakua kila cku. Zama za kuangalia durabilty kama first and biggest criteria when buying phone zimepitwa na wakati. Siku hizi ni what do u have to offer? From desisgn and applications.

As for nokia my friend hali tete. Samsung has officially become the no 1 phone maker on world. Which nokia had been dominating for 14 years.

Na we nakurudisha kule kule source ya hizo market share ni nini? Utaskia simu walizo sheep sasa hapa ndo linapokuja sawa kiwanda kimeuza simu milion 100 je huu ni ushahidi kua kiwanda ndo kinaongoza kwa watu kumiliki simu zake? Je kama zimekaa madukani nyingi?

Je kama watu wananunua then zinaharibika, je kama wholesaler kanunua container limezama baharini je kama wholesaler kanunua zimeibiwa then akaja kununua tena.

Unaona hapa data sahihi tutazipata kwa kuangalia watu yani consumer wanamiliki nini?

Then tuangalie nchi zenye watu wengi na simu wanazomilikI

Black people- nokia ni simu kipenzi cha watu weusi nchi zote zenye watu weusi nokia anaongoza

Mfano mzuri brazil 71 ya wabrazil wanatumia symbian na 20 wanatumia android

Tuje india nokia ndio kiongozi

Twende china nokia ndo kabsaa

Sasa hapa tumetaja nchi 3 zenye watu wengi zaidi duniani na kote nokia anaongoza lakini wao hawayaoni haya kwenye data zao wanachoona wao ni kiwanda kimeship bidhaa ngap wat a shame
 
we nakurudisha kule kule source ya hizo market share ni nini? Utaskia simu walizo sheep sasa hapa ndo linapokuja sawa kiwanda kimeuza simu milion 100 je huu ni ushahidi kua kiwanda ndo kinaongoza kwa watu kumiliki simu zake? Je kama zimekaa madukani nyingi?

Je kama watu wananunua then zinaharibika, je kama wholesaler kanunua container limezama baharini je kama wholesaler kanunua zimeibiwa then akaja kununua tena.

Unaona hapa data sahihi tutazipata kwa kuangalia watu yani consumer wanamiliki nini?

Then tuangalie nchi zenye watu wengi na simu wanazomilikI

Black people- nokia ni simu kipenzi cha watu weusi nchi zote zenye watu weusi nokia anaongoza

Mfano mzuri brazil 71 ya wabrazil wanatumia symbian na 20 wanatumia android

Tuje india nokia ndio kiongozi

Twende china nokia ndo kabsaa

Sasa hapa tumetaja nchi 3 zenye watu wengi zaidi duniani na kote nokia anaongoza lakini wao hawayaoni haya kwenye data zao wanachoona wao ni kiwanda kimeship bidhaa ngap wat a shame

Like i told you tangu mwanzo mifano yako they are immature kwenye busineamss world. They might be valid on certain points but i believe kwa mtu labda wa high school Not a graduate level ma kuendelea.

How can you leta stats nokia zinapendwa na black people? Who are the black people here you are refering to?? (africans au dunia nzima)
Wazungu hawabaahitshi kwenye stats zao, hapo umeona wametoa stats za wanao ship sana na market share.
Market share is the percentage of a market (defined in terms of either units or revenue)
accounted for by a specific entity."
Sasa wanaposema Android market share ni 68.1% manake kwnye kila 10 smart phone zote duniani simu inayotumia android ni 6 au 7 katika hizo. Na kitika hizo Android 6 au 7 samsung inasimu more than 50% market share manake simu 4 au 5 ni za samsung brand.

Sasa umetoa mfano wa Brazil ambao wako 196.65 Million ambao kuna app 19million smartphone users compared to US ambao kuna app 232million user and Half of that wanatumia smart phone(116million that is 6 times number of brazilian) na katika hao 116million 51% ni android OS na katika hizo Android more than half of that ni Samsung.
Je kama watu wananunua then zinaharibika, je
kama wholesaler kanunua container limezama
baharini je kama wholesaler kanunua zimeibiwa
then akaja kununua tena.
simu zinazopigiwa hapa mahesabu zilizo katika usage and market. Hizi nisimu. Zilizo nunuliwa not some manufactured data hapa.
Kama limezama zitazama simu ngapi kaka ku alter the whole market duniani. Hawa jamaa its nt like they make 100million units za simu, we are talking about billion units hapa.
Its true as for china Nokia ndo most popular brand in terms of usage bt still overall duniani Nokia imepitwa na samsung as No 1 phone maker. Nokia imepitwa hata na Apple in terms of Revenue and profits.
 
nokia mbona bado yupo! Maana hatakama kapitwa na samsung szan kama wametofautiana sana... Na nokia anataka kurudi

rekebisha na links zako. Zweke ndan ya mabano kama hayaa[hapa weka link]

Ofcoz inawezekana kapiwa sio sana but now samsung anaonekana is growing faster and faster nokia seems to be lagging behind. His symbian OS is not doing well at all nw he tried windows OS cheki anavyohangaika.
 
Like i told you tangu mwanzo mifano yako they are immature kwenye busineamss world. They might be valid on certain points but i believe kwa mtu labda wa high school Not a graduate level ma kuendelea.

How can you leta stats nokia zinapendwa na black people? Who are the black people here you are refering to?? (africans au dunia nzima)
Wazungu hawabaahitshi kwenye stats zao, hapo umeona wametoa stats za wanao ship sana na market share.
Market share is the percentage of a market (defined in terms of either units or revenue)
accounted for by a specific entity."
Sasa wanaposema Android market share ni 68.1% manake kwnye kila 10 smart phone zote duniani simu inayotumia android ni 6 au 7 katika hizo. Na kitika hizo Android 6 au 7 samsung inasimu more than 50% market share manake simu 4 au 5 ni za samsung brand.

Sasa umetoa mfano wa Brazil ambao wako 196.65 Million ambao kuna app 19million smartphone users compared to US ambao kuna app 232million user and Half of that wanatumia smart phone(116million that is 6 times number of brazilian) na katika hao 116million 51% ni android OS na katika hizo Android more than half of that ni Samsung.

simu zinazopigiwa hapa mahesabu zilizo katika usage and market. Hizi nisimu. Zilizo nunuliwa not some manufactured data hapa.
Kama limezama zitazama simu ngapi kaka ku alter the whole market duniani. Hawa jamaa its nt like they make 100million units za simu, we are talking about billion units hapa.
Its true as for china Nokia ndo most popular brand in terms of usage bt still overall duniani Nokia imepitwa na samsung as No 1 phone maker. Nokia imepitwa hata na Apple in terms of Revenue and profits.

Anha i see naongea na jumbe katumwa na mkoloni hapa hatupo kubishana elimu zote twende reality.

Leo nakutuma wewe kanifanyie research yenye kichwa cha habari ''ni kampuni gani ya cement tanzania inayotumiwa na watu wengi kujengea nyumba? then na wewe bila kufkiria eti unaenda viwandani unaanza tanga cement mnazalisha product ngap? Tunazalisha tani 50 unaenda twiga wanasema wanazalisha 25 then unaconclude ahaa tanga cement ana market share kubwa.

Ndo tunavopima? Je kama cement ya tanga ilitumika kujengea viwanja na majengo makubwa then watu wanaprefer twiga zaidi na idadi kubwa wanatumia twiga utajua kwa kuangaia wanazalisha nini tu?
 
Back
Top Bottom