Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,508
- 2,058
- Thread starter
- #41
Freemason ni taasisi halali kabisa na hapa Tz inafanya shughuli zake ki halali na inatambuliwa na serikali ya Jamuhuri kwa kuwa haikiuki katiba ya nchi.
Thax kwa kuwajulisha,kuna watu hawajui kabisa kwamba ni taasisi halali na ina ofisi kabisa na wafanyakazi kama sehemu zingine,upozofu na imani za watu zinafanya taasisi hii itafsirike vibaya