Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Ni katika ukumbi wa Mapenzi na hoja mchanganyiko au vipi wadau ? kaazi na dawa
Ni tofauti kabisa ,wakati wa makutano utamsikia mwanamke akihimiza umguse sehemu fulani tofauti na sehemu nyeti ambazo hazimo katika mahesabu yake, yaani ukimgusa huwa anajisikia anaruka kabisa katika anga na kujiona yupo dunia nyengine .
Nilipokuwa katika ujana kule shuleni Usagara Secondary ,nilikuwa na kajisichana cha kisambaa kametutumka ,huyo alikuwa mwisho kwa hapo shuleni kwa uzuri na umbo lake ,ila hatukuwahi kufanya jambo kubwa sana ambalo lingepelekea kumharibia na kumtia doa katika maisha yake ya baadae kuelekea ndoa ,just tulikuwa na harakati flaniflani tunapokutana pembeni na hakuna anaetuona au kutuchungulia ,at least we are on the safe place basi ni denda la nguvu tu ndio tukizawadiana ila katika yote utamsikia akisema nimguse sehemu kati ya bega na shingo basi nikimusu hapo huwa hajitambui naweza kusema anakaribia kupoteza fahamu ,siku nyengine huwaga nasituka na kuona atazimia kabisa ,ilinijia pengine ana madudu au mashetani ,ila hurudi katika hali ya kawaida kwa haraka sana na hapo huagana.
Je ni hali gani hizi ambazo sijui kama zinawatokeaga wanawake wengine kuwa sehemu fulani huwa inampa raha inapoguswa bila ya kwenda mbali ?
Ni tofauti kabisa ,wakati wa makutano utamsikia mwanamke akihimiza umguse sehemu fulani tofauti na sehemu nyeti ambazo hazimo katika mahesabu yake, yaani ukimgusa huwa anajisikia anaruka kabisa katika anga na kujiona yupo dunia nyengine .
Nilipokuwa katika ujana kule shuleni Usagara Secondary ,nilikuwa na kajisichana cha kisambaa kametutumka ,huyo alikuwa mwisho kwa hapo shuleni kwa uzuri na umbo lake ,ila hatukuwahi kufanya jambo kubwa sana ambalo lingepelekea kumharibia na kumtia doa katika maisha yake ya baadae kuelekea ndoa ,just tulikuwa na harakati flaniflani tunapokutana pembeni na hakuna anaetuona au kutuchungulia ,at least we are on the safe place basi ni denda la nguvu tu ndio tukizawadiana ila katika yote utamsikia akisema nimguse sehemu kati ya bega na shingo basi nikimusu hapo huwa hajitambui naweza kusema anakaribia kupoteza fahamu ,siku nyengine huwaga nasituka na kuona atazimia kabisa ,ilinijia pengine ana madudu au mashetani ,ila hurudi katika hali ya kawaida kwa haraka sana na hapo huagana.
Je ni hali gani hizi ambazo sijui kama zinawatokeaga wanawake wengine kuwa sehemu fulani huwa inampa raha inapoguswa bila ya kwenda mbali ?