MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Mj1 umemuelewa Fidel80 anaposema inabidi jamaa awe mtundu na matundu? kwa kifupi anashawishi mjaribu na hilo tundu jingine kama bado hamjafanya hivyo.. LOFL.... Nadhani pia na wewe unasababisha huko kuadhibiwa kwani kama ungemsaidia mwenzako kuufahamu mwili wako usingeteseka. Pia hata wewe mwenyewe unatakiwa kuchukua muda kuusoma mwili wako unaweza kuanza tu kwa kuvua nguo zote kisha ukawa unajiangalia kwenye kioo in time jaribu utundu wa kujichezea sehemu mbalimbali za mwili wako utaipata tu sehemu yako ya miujiza. Umenifanya nipate interest ya kujua maisha yako ya ngono kwani mtu kutokufahamu sehemu yake ya miujiza ni suala linalohitaji kuangaliwa kwa kina kidogo..Vipi nikuulize maswali mawili matatu ya maisha yako ya ngono?
..... Ishia hapo hapo maana hutapata kitu mheshimiwa. Ila ntachukua ushauri wako wa kujichunguza kwanza. Mh huo wa tundu jingine ah hilo la kawaida tu sipatii ndo ntapatia huko kwingine??