Wewe sema kweli😂😂😂?Mkuu, yaani unaplay part ya pusha wakati niko sober house kutafuta suluhu ya hili suala.
Basi, no sweat, tupia digits huko DM, ukanywe hata juice fresh.
Hii comment imenichekesha😂
Wewe sema kweli😂😂😂?Mkuu, yaani unaplay part ya pusha wakati niko sober house kutafuta suluhu ya hili suala.
Basi, no sweat, tupia digits huko DM, ukanywe hata juice fresh.
Nitakoma😂😂😂😂😂onhoo,tena
kama ni hivyo ni changamoto, ila muhimu zaidi atafute mke aoe akiwa na majukumu ya kifamilia ataweza kuhifadhi fedha na kuzitumia kwa nidhamu.Southern Giant, obviously ni mwanaume na bado ni bachelor!
Exactly kinachotokea mkuu.Hii kitu inacost sana hata kwangu,tatizo utakuta ktk akaunt ya simu ipo laki tano au sita na sabini,alafu mtu hasa ndugu anaomba elfu 20 au 10,sio pesa nyingi sana lakini ikizidi zinakuwa nyingi,hapo bado hujapokea sms za wagonjwa za kifamilia/ukoo.Pia Ile tabia ya kupotezea chenchi ndogo ndogo dukani au sehemu yoyote.Nimedhamilia kuacha hizo tabia huu mwaka,maana mwaka uliopita nilikaa chini nikapiga hesabu ni pesa nyingi sana ambazo zingenisogeza mahali.
Good🙃
Haya, nasema 'kweli'.
Umenvuruga jinsi umenkazia hapo.
Hii kitu inacost sana hata kwangu,tatizo utakuta ktk akaunt ya simu ipo laki tano au sita na sabini,alafu mtu hasa ndugu anaomba elfu 20 au 10,sio pesa nyingi sana lakini ikizidi zinakuwa nyingi,hapo bado hujapokea sms za wagonjwa za kifamilia/ukoo.Pia Ile tabia ya kupotezea chenchi ndogo ndogo dukani au sehemu yoyote.Nimedhamilia kuacha hizo tabia huu mwaka,maana mwaka uliopita nilikaa chini nikapiga hesabu ni pesa nyingi sana ambazo zingenisogeza mahali.
shida za ndugu haziishi, binafsi nachokifanya ndugu akiniomba elfu 20,000 atakama ninayo huwa natoa 5,000 ili kupunguza zile lawama, hiko kiasi kingine atapata kwa ndugu wengineExactly kinachotokea mkuu.
Sasa hawa ndugu mara nyingi ni ngumu sana kuwakazia. Unakuta mtu ana shida genuine na uwezekano wa kumsaidia unao japo in a long run inakuathiri tena wewe mwenyewe!
Katika harakati zangu za kuhangaika na haya mambo, nami niliidownload hii app. Ngoja niitilie mkazo kuhifadhi records.nili install application inayoitwa cash book ipo playstore, hii app ilinisaidia kuweka kumbukumbu ya kila kiwango nilichokua nakitumia na kukiingiza hata ikiwa shilingi 50 sikusita kurecord, niligundua fedha nyingi inapotelea wap hapo ndipo nikaanza kujibana kwa yale matumizi yasiyo ya lazina na kingine michango isiyo na muhimu niifanya isinizoee.
mkuu mimi nina shida na 1mil nibust mtaji wa Karanga mwezi march.Jero ninayo mkuu, sema ndo nataka kujua namna nzuri za kutotoa pesa zangu hovyo.
kama unaifaham itumie hiyo alafu uwe na nidhamu kwa kila shilingi, itakusaidiaKatika harakati zangu za kuhangaika na haya mambo, nami niliidownload hii app. Ngoja niitilie mkazo kuhifadhi records.