City Owl
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,557
- 4,845
Ndugu wanajamii, salaam!
Naomba mnipe mbinu mbalimbali za kuwa bahili.
Kwa kweli nina-struggle sana kubania fedha zangu nazosisaka kwa juhudi kubwa.
Najitahidi kujibania mwenyewe, ila tatizo ni watu wangu wa karibu wanaponieleza changamoto zao, huwa nalazimika kusaidia panapo uwezo na nafsi hunisuta sana kama sitasaidia.
Sasa, hii nafsi inayonisuta ndiyo nataka kuidhibiti.
Nimejiridhisha kuwa changamoto haziishi, na najikuta natumia fedha nyingi kusaidia tu na inaathiri plans zangu mara kwa mara.
Hebu nipeni mbinu wapi nikaze nati na wapi nichomoe nyaya ili nijikwamue toka kwenye huu mkwamo.
Nataka kuwa mbahili kindakindaki.
Naomba mnipe mbinu mbalimbali za kuwa bahili.
Kwa kweli nina-struggle sana kubania fedha zangu nazosisaka kwa juhudi kubwa.
Najitahidi kujibania mwenyewe, ila tatizo ni watu wangu wa karibu wanaponieleza changamoto zao, huwa nalazimika kusaidia panapo uwezo na nafsi hunisuta sana kama sitasaidia.
Sasa, hii nafsi inayonisuta ndiyo nataka kuidhibiti.
Nimejiridhisha kuwa changamoto haziishi, na najikuta natumia fedha nyingi kusaidia tu na inaathiri plans zangu mara kwa mara.
Hebu nipeni mbinu wapi nikaze nati na wapi nichomoe nyaya ili nijikwamue toka kwenye huu mkwamo.
Nataka kuwa mbahili kindakindaki.