Nifanyeje wadau? Nisaidie

Nifanyeje wadau? Nisaidie

Dunia ina watu b6, sasa wewe huyo1 anakusumbua? Ulaya mchezo? We njoo tu ila kugegedwa mmh kwa upweke na life style kunaeza tokea km alivyosema bwana mmoja hapo juu. Hizi njemba za west africa zinapenda sana east african ladies, wananikerajeee

Aagh nimepata wazo, akupe mimba tu--ukiwa kitumbo ndiiii hakuna wa kukugusa



Ukishindwa kbs tumia hii research ya pm wetu "Liwalo NA LIWE" (Pinda, 2012 Unpublished)
 
DUUH! Ama kweli tumeubwa wengi. Mie naona kosa liko kwako, wanaume hawana ujanja kwa wanawake labda sema huna mbinu wenzio wakupe. Kumbuka kisa cha Samsoni na DELILA. Lakini hali hiyo iwe pia endiketa kwa maisha yako ya ndoa. Huenda mwenzio si mtu wa kureason. BON VOYAGE!
 
Muambie asipokuruhusu uende na wewe utamuacha!
Na ujijue hapo ndo shule na mikazi ya maana bye bye. He is a control freak. Kwani hukuwa umemuambia kakukuta na bwana mwingine anaitwa career na yeye ndo small hausi? Kiranga njoo utoe ushauri huku

Sijawahi kuelewa kwa nini watu wanafikiri ultimatums ni sehemu ya mapenzi, na kwa nini watu wanafikiri kuna mtu mmoja tu anayeweza kuwafaa katika mabilioni yote yaliyopo duniani.

Is it insecurity or just a human tendency to stick to what you know in the tradition of "Zimwi likujualo halikuli likakwisha", which is really really pathetic.

Huyu mwanamke akiiacha hii nafasi atajutia uamuzi huu maisha yake yote. Mwanamme anayeweka ultimatums katika nafasi kama hii hataki mema.

I will let the words of Eminem speak for me.

"Lose Yourself"

Look, if you had one shot, or one opportunity
To seize everything you ever wanted. one moment
Would you capture it or just let it slip?
Yo


You better lose yourself in the music, the moment
You own it, you better never let it go
You only get one shot, do not miss your chance to blow
This opportunity comes once in a lifetime yo
You better lose yourself in the music, the moment
You own it, you better never let it go
You only get one shot, do not miss your chance to blow
This opportunity comes once in a lifetime yo
(You better)
 
A man who can't let you go for 5 months, miezi mitano tu sidhani kama anafaa kuwa baba wa nyumba, kwanza hakuna watoto isemekane kwamba wataumia bila mama.

muulize kwa nini hataki uende. Muulize kama yeye angepata hiyo nafasi angeiacha? Akisema ndio fungasha vitu vyako nenda kasome tena kwa roho nyeupe usije ukafail ukarudi hapa mikono mitupu ukachekwa ulishindwa kusoma kisa mwanamme.

Mtu yeyote ambaye haoni opportunity hata imuangukie usoni hafai kabisa kwa partner katika maisha
 
Unayajua matendo ya wanawake wanaoshinda nyumbani wewe? Wanaotembea na wauza mchicha, bucha ama mafagio? Kujitunza ni hulka ya mtu. Mi nikipata scholarship namuacha Paw wangu na watoto na hgelo miaka 2 net! Na nikirudi life linasonga. Hebu jiamini bwana!
Dah!Kweli wengi mtamshauri huyo dada akasome nje lakini kwa ka-experience kangu kadogo kwakweli nimewashuhudia wanawake matendo yao wanayoyafanya, mbaya zaidi wake za watu wanaokwenda nje kusoma wanagegedwa sana tena kupita hata wanawake ambao bado wapo wapo (Japokuwa si wote lakini naweza sema kwa kule niliposomea ni karibia 80%, tena wanakuwa maharage ya mbea sana kwa watu wa mataifa mengine hasa waafrika magharibi).Na nimekuwa najiuliza hili linatokana na nini lakini sipati jibu sahihi. Kuanzia hapo nikala kiapo kuwa sitakuja kumruhusu mke wangu kamwe akasome nje tena hasa kwa kipindi kirefu ndiyo hatari zaidi. Naongea haya kwa ushahidi wa kuushuhudia mwenyewe.

Kwangu mimi hapo nakosa cha kushauri, sijui mwanaume huyo anamakosa au ana mawazo kama yangu kwakweli sijui.
 
jamaa anakuonea wivu utafika ulaya yeye bado. Teh teh teh
 

heeeee!!bidada kasome asitishie kukuacha
elimu ndio kila kitu my dear,mwanaume usimuendekeze
maana siku akikubadilikia utajuta kumfahamu,kasome uone kama
atakuacha khaaaaa!!
 
kama hujawahi kujutia basi acha kwenda kusoma utajutia maisha yako yote, elimu ndio ndoa ya milele haivunjiki mpaka kufa, ndoa mda wowote inavunjika na binadamu mda wowote anabadilika. tena, hata kama ingekuwa ni miaka miwili nakushauri nenda, kama kweli anakupenda atavumilia, akikuacha huyo sio mmeo ujue ulitaka kuolewa na mme wa mtu mwingine siku moja angekuacha aende kwa mke wake. lakini kama ni mme wako mtarajiwa uliepangiwa utarudi mtafunga ndoa yenu.
 
Mimi ni mwanaume lakini nakwambia wee binti, huyo kijana anakutamani zaidi kuliko kukupenda. wavulana wengi na wanaume wengi wameishi na wenzi wao pasipo kujitambua kama maamuzi yao yanatokana na nini kati ya upendo na tamaa!
 
Mhhhhh jaman hvi hapo ingekua ndo men kapata hyo scolarship yani icngekua swala wala lakujadili ni angesepa aiseee.mama nenda kasome kama huyo ni mume Mungu aliekuandikia itakua hvo kama sie basi it wasnt ment to be.heee tena miez mi5 tuu???
 
jambo moja tu kumbuka wanaume wanabadilika kama kinyonga. nenda ukaongeze elimu kwa faida yako na yake km atakuwa tayari. akisisitizakuwa hataki wewe timka tu ndoa bongoooo!
 
Watakushauri mengi,mwishowe watakuchanganya.Kipindi cha maandalizi ya harusi ni kigumu sana ndiyo maana jamii nyingi haziruhusu watu kusafiri.Mimi nakumbuka kijijini kwetu enzi zile bwana harusi mtarajiwa alikuwa hata haruhusiwi kwenda kuwinda ama kuvua samaki maana majanga nje nje so kaa uolewe shule ipo tu
 
nimepapa schoraship kwenda kusoma UK ya nchi miezi 5, lakini nimechumbiwa na mpango wa ndoa umeshaanza. mwanaume amenikataza nisiondoke. lakini harusi siandai mimi ni wazazi na mda wa harusi nitakuwa nimesharudi tanzania.
huyu mwanaume amesema nikiondoka ataniacha. lakini masomo haya nikiyapata yatatunufaisha sisi sote. tena ni nafasi pekee yaani golden chance, haijirudii tena nikiikosa. hebu nisaidie mawazo wanajukwaa.

Duh! W/me tunatofautiana mitizamo!
Kumbuka huu si wakati wa kuwa m/me kauli yake haipingiki! Hapa ni logic kwenda mbele!
Embu kamuulize, kwanini anakuzuia? Then hapo sound kwa sound, then mkumbushe bahari hailindwi, then mwambie Bora waafrika wanajua kusugua! Ebos! Akikataa wasikilize wazee wako, nao wakitaa, dah! Tulia tu dada yangu! But wakikubali we sepaaa! Akikukataa hiyo ni bora kwako! Binadam sote ni dhaifu but udhaifu wake umejitokeza mapema sanaaaa! Nadhan mbeleni atakuzuia hata kwenda kazini!
'Volent non sit injuria' uyu kambale bado m'bichi! Usigande kumkunja mapema bas kabla hajakauka...!
 
nimepapa schoraship kwenda kusoma UK ya nchi miezi 5, lakini nimechumbiwa na mpango wa ndoa umeshaanza. mwanaume amenikataza nisiondoke. lakini harusi siandai mimi ni wazazi na mda wa harusi nitakuwa nimesharudi tanzania.
huyu mwanaume amesema nikiondoka ataniacha. lakini masomo haya nikiyapata yatatunufaisha sisi sote. tena ni nafasi pekee yaani golden chance, haijirudii tena nikiikosa. hebu nisaidie mawazo wanajukwaa.

Wanawake ni dhaifu sana mchumba wako yupo sahihi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom