Nifanyeje wadau? Nisaidie

Nifanyeje wadau? Nisaidie

Yaani dada huna haja yakuongea. Muonyeshe hii thread asome. Akimaliza kusoma akupe maamuzi yake.
 
Mwambie bye bye see ya good luck with your new life kisha unasepa zako kwa mama kula kuku kwa mrija kwa hiyo miezi mitano.... Baadhi ya wanaume wana wivu wa kufa mtu!!!! Dah!!!!!
 
Ndugu hiyo ni chance ya pekee sana wala usithubutu kuiacha eti kisa NDOA kwani hutaipata tena na wala haitatokea tena huyo mchumba wako ana wivu hataki wewe uendelee kimasomo hataki maendeleo ya wanawake huyo anataka kukatisha nuru iliyoingia kwako, cha kufanya wewe ongea na watu wazima wamshauri ili mpange tarehe ya harusi mbele pindi ukitoka kwenye hayo masomo

heee huyu nae eti kwani ndoa hutaipata tena 😀😀🙂 inaonesha umezoea kugegedwa na kutemwa. Cha msingi dada angu mckilize boy wako na ujue tatizo nini hasa pengine ni wivu na umuahidi utomsaliti.
 
Saa Nyingine Wanaume Mmezidi Jamani Khaa! Yani Kumkatia Mchumba Kwenda Nje Kwa Five Months Tu! Si Umesema Taratibu Za Ndoa Zimeshaanza Na Tarehe Za Ndoa Utakuwa Umesharudi? Ni Vema Wazazi Wako Wakaongea Na Mumeo Mtarajiwa Muweke Mambo Sawa Uende Kusoma, Huyo Mwanaume Mgagagigikoko Nini?hajui Kugegedwa Hata Bongo Unaweza Kugegedwa? Au Anadhani Mtu Ukienda Ulaya Kuolewa Ni Rahisi So Hautarudi Bongo? Thubutu!. Nenda Kusoma!
 
Nadhani mwanaume amekua moga kidogo kutokana na tabia ya wa dada wengi wakishasafiri hubadilika na mara nyengine hukutana na wanaume huko2 nje na kuwadanganya kwamba watawatafua visa na nini na mambo kibao na kuwaacha wapenzi wao wa zamani.. Hiyo issue inabidi muiongelee kifamilia na umuhakikishie mchumba wako kwamba hauta msaliti wala haudanganyikkki. Bilashaka atakuelewa! shule ni muhimu na ndoa ni muhimu pia. Pole kwa changamoto...

Hata wakaka wengi nao hubadirika na kuwasaliti wapenzi wao, kwa pande zote watu wamekuwa waongo na wasaliti kupindukia. Am speeking from experience boyfriend wangu nilimwacha nikaenda kusoma niliporudi nyumbani rikizo nikakuta ana mtu mwingine tayari na hakuwahi kuniambia chochote kwani tulikuwa tunawasiliana kama kawaida. nakubaliana nawe kuwa shule na ndoa vyote ni muhimu wakaechini waongee ili kila mmoja awe huru kufanya uamuzi sahihi.
 
Huyo mchumba wako hapendi uende nadhani kwa sababu zake za msingi, na ni kipimo cha kuangalia unampenda kiasi cha kusacrificre nn kwa ajili yake.
Wengi watakushauri elimu ni bora kuliko ndoa, lkn elimu haitunzi mume na elimu inapatikana muda wowote, tofauti na mume kama huyo kaka uliyempenda sasa na ukakubali akuoe.
Ipi "golden chance" kati ya kuolewa na mtu ambaye hujaona mfano wake na kwenda nje?
Nje unaweza enda muda wowote, scholarship zipo kila leo.
Fikiri na kuomba sana kabla hujaamua.

You are truly wise!!
 
wee olewa uk ukitAka kwenda utakwenda tuu wala usiwe na presha...wanawake ebu thamini ndoa bwana.
 
mie ndio maana nashauri never marry a lady ambaye nondo zake hazijakamilika...oh nataka kwenda soma...ndio haya mwishoe akagegedwe huko iwe taabu.... kuna wanawake wanataka kuwa wives na wengi wao wanataka tuu kuolewa. huyu ana belong to the later
 
Hata wakaka wengi nao hubadirika na kuwasaliti wapenzi wao, kwa pande zote watu wamekuwa waongo na wasaliti kupindukia. Am speeking from experience boyfriend wangu nilimwacha nikaenda kusoma niliporudi nyumbani rikizo nikakuta ana mtu mwingine tayari na hakuwahi kuniambia chochote kwani tulikuwa tunawasiliana kama kawaida. nakubaliana nawe kuwa shule na ndoa vyote ni muhimu wakaechini waongee ili kila mmoja awe huru kufanya uamuzi sahihi.
Umeongea ukweli mtupu mkuu. "Distance" ni adui mkubwa wa mahusiano, inahitajika mapenzi ya kweli wala sio ya kubahatisha au kujaribu..
 
mchumba elimu yake ni ya kiasi gani? isije ikawa kutojiamini kumemtawala. anahisi hatathaminiwa wife akisoma hicho anachoenda kusoma.
 
kwa mfano huyo jamaa amekupa sababu gani zinazomfanya akukataze usiende masomoni...?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom