Nifanyeje nipendwe kama zamani?.

Nifanyeje nipendwe kama zamani?.

Aise basi mtoa mada pole.... Mana kweli ndoa sio interest kwako
 
think big coz kuna maisha mbelen maandalizi mazuri ya ujana ndio matokeo mazuri ya uzee wenye busara kaa na familia yako Lea ,mpende mkeo Huyo ndio chaguo lako,maana huwez Ku date na dunia nzima
 
Id el hajj wanajukwaa.
Baada ya salam, niende moja kwa moja kwenye mada kuwa nifanyeje nipendwe kama zamani maana naona kuoa imekuwa namna ya kukosa upendo kwa mke sababu ya mazoea, mademu wengi ukiwatongoza wanasema tunamwogopa mkeo japo siyo tishio, yaani hata uhuru wenyewe wa kutongoza sina nikiwaza hilo jibu, hata sound zimeshapotea!

Yaani love imepotea kama pesa za Magufuli mtaani. Au nitimue mke nirudi ujanani? No love at all. Kweli mke mmoja anadumaza akili! Kuna kipindi nikiwa wa umri fulani nilikuwa nashabikia sana ndoa za mkataba kama mwaka au miaka miwili, ila wakati wa kuoa hilo wazo sikulikumbuka naona linanirudia kwa kasi na kuona umuhimu wa ndoa za mkataba. Namiss ladha tofauti za mautamu toka kwa mademu tofauti. Mautamu simaanishi tu sex, i mean hata ule uhuru wa kuchat, jokes, kukutana sehemu na ku share hata stories. Hivi ndoa ni jela ee? Nafikiria kumkimbia mke ama nimtimue tukutane fainali uzeeni.
Kuna features ulikuwa nazo kabla ya kuoa ambazo mke/mademu walizipenda ila kwa ss umepoteza...solution ni kuwa muulize mkeo au hao mademu hili swali jibu watakalo kupa litakisaidia kuludi kuwa sirluta wa zaman kipenz cha mademu
 
hata nikioa 5 bado shida yangu ni kukosa uhuru. Moyo wangu utafurahia ku date na wanawake tofauti tofauti hata kama siyo ku sex nao hata kampani tu is enough
Hivi ni vipindi tu,vinatokea ktk maisha ya ndoa.
Kumbuka kwny ndoa kuna hatua kuu 3
Kwanza maisha huwa matamu km asali
Pili huwa machungu km shubiri
Na tatu watu huishi kwa mazoea.
Nionavyo mm upo kwenye hiyo hatua ya pili na usipokua makini ni kweli ndoa itakushinda,na ndoa nyingi huvunjikia hapa.
Vuta subira yote yatapia la sivyo utaoa na kuacha daily
 
Pamoja na utapeli wao bado nadhani wanatumiwa sana na watu hususan wanawake wanaotafuta dawa za mapenzi.

Daima mwanamke atakuwa kiumbe dhaifu tu.
Huu udhaifu wa wanawake unakuaga wapi?
Mbona mnaishiaga kusema mwanamke ni kiumbe dhaifu bila kutoa sababu.
Tuambie leo udhaifu wetu ni upi?
 
ndoa ininyime uhuru kiasi cha kushindwa kwenda kushare story na fans wengine nikitaka kutoka naambiwa twende wote wakati unakuta moyo wangu unataka hata nikakae na mwajuma nipige nae story tu?
Ndio maana nikasema wee bado una akili za kitoto, yaani unataka umwache mkeo ndani ukafanye yako tena ucku, umezoea kurudi usiku wa manane na hata kulala hukohuko sasa umeoa na bado unataka uendelee kulala nnje?
Wee umeoa kufata mkumbo sio mapenz yako kutoka miyoni
 
Huu udhaifu wa wanawake unakuaga wapi?
Mbona mnaishiaga kusema mwanamke ni kiumbe dhaifu bila kutoa sababu.
Tuambie leo udhaifu wetu ni upi?

Hivi hata mkiambiwa kuhusu huo udhaifu wenu, akili za kuelewa mnachoambiwa mnazo?

Men and women are wired very differently. Period, end of sentence.
 
Utakuwa unamhudumia au?

Kama utashindwa hudumia ataenda kuomba yeye talaka maana umeshindwa kazi Mkuu!
ajihudumie mwenyewe. Talaka akaitafute tu ila sitaitoa maana Mungu atakasirika.
 
Ndio maana nikasema wee bado una akili za kitoto, yaani unataka umwache mkeo ndani ukafanye yako tena ucku, umezoea kurudi usiku wa manane na hata kulala hukohuko sasa umeoa na bado unataka uendelee kulala nnje?
Wee umeoa kufata mkumbo sio mapenz yako kutoka miyoni
ni kweli nilikurupuka kuoa ndo maana nataka uhuru
 
Aise basi mtoa mada pole.... Mana kweli ndoa sio interest kwako
kabisa mkuu ila nimetimiza jukumu la kuoa. Najulikana nilioaga na wav wanajua walikula na kunywa na kuserebuka.
 
ajihudumie mwenyewe. Talaka akaitafute tu ila sitaitoa maana Mungu atakasirika.
Hahahah....akienda mahakamani mbona hawataangalia kuwa mungu atakasirika.

Usitelekeze mke wako aisee.

Pambana tu mambo yatakaa poa man
 
Kuna features ulikuwa nazo kabla ya kuoa ambazo mke/mademu walizipenda ila kwa ss umepoteza...solution ni kuwa muulize mkeo au hao mademu hili swali jibu watakalo kupa litakisaidia kuludi kuwa sirluta wa zaman kipenz cha mademu
tatizo kubwa ni kutii masharti ya kuishi kwenye ndoa. Kuulizwa ulizwa maswali na kukosa uhuru wa kujiamulia.
 
Usimwache mke wa ujana wako kumbuka mwanzo mlivyokua uhuru gan unaoutaka wewe? Kuna laana ya mke sijui unajua muache uone dunia chungu ukiludi kumwangukia inakua too late
 
Hahahah....akienda mahakamani mbona hawataangalia kuwa mungu atakasirika.

Usitelekeze mke wako aisee.

Pambana tu mambo yatakaa poa man
namna ya kupambana na hali yangu ni kila mtu aishi kivyake kwanza tukutane fainali.
 
Usimwache mke wa ujana wako kumbuka mwanzo mlivyokua uhuru gan unaoutaka wewe? Kuna laana ya mke sijui unajua muache uone dunia chungu ukiludi kumwangukia inakua too late
hilo andiko naliogopa ndo maana sitaki kutoa talaka bali kila mtu akae kona yake tukutane fainali.
 
Hivi hata mkiambiwa kuhusu huo udhaifu wenu, akili za kuelewa mnachoambiwa mnazo?

Men and women are wired very differently. Period, end of sentence.
Woooii..
Ungeusema tu,tofauti na hapo hizo ni blah,blah as usual
 
Back
Top Bottom