Mshua's
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 801
- 546
- Thread starter
- #61
kuna wakati nami niliwaza kama wewe, watu wa karibu walionipa ushauri ni kwamba nisome vitabu nami nafanya hivyo ilakiukweli maandishi mengi yenye kugawa maarifa yapo katika lugha ya kiingereza, so anza kujifunza kiingereza kwanza.
Mkuu kiingereza nilishawahi kujifunza ingawa bado sijawa compitent sana, naweza kusoma kitabu nikaelewa kinachoongelewa. Ndio maana naweza hata kupost uzi hapa JF!