Da vinci jr
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 202
- 34
Soma , Cheza.. Mengine yote ni assumption tu. Chakula kina upa ubongo wako capacity au potential ya kuwa critical thinker. lakini kuwa critical thinker unahitaji tu kusoma vitabu na kucheza michezo. hii ni kwa sababu kusoma ni kupata maarifa. na kucheza ni kutumia maarifa. kwahiyo ukisoma tu bila kucheza michezo au kufanya ubongo wako uchambue na kuunganisha maarifa uliyo nayo kutatua matatizo ni bure.
Kwa kifupi niseme ukitaka kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiria, Basi Fikiria sana.
Kwa kifupi niseme ukitaka kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiria, Basi Fikiria sana.