Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
Katika mambo ambayo nimejipangia mwaka huu ni pamoja na ku follow great thinker wa jf wakiwamo na hao usimsahau na mkuu Malcom Lumumba katika mambo fikirishi yaliyo behind curtains.jifunze kwanza kiingereza ili uweze kusoma vitabu vyenye maarifa..
pia
Mkubwa naomba nikuunganishe na hawa watu wakupe mambo.. EMT, Pasco, Kiranga..pia Mzee Mwanakijiji.. Wakusaidie zaidi!!