Mshua's
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 801
- 546
- Thread starter
- #21
1.jishughulishe na mambo ya kufikirisha!
2.tumia muda wako mwingi na watu walio kuzidi uwezo kifikra!
3.acha kujishughulisha na mambo ya kipuuzipuuzi!
Nashukuru kwa ushauri mkuu. Dah! Kumbe inabidi uwe siriazi sana ili kukuza uwezo wa kufikiri, ikiwezekana hakuna kucheka na mtu. Nimekusoma mkuu!