Daftari la Watoro
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 381
- 823
Unaweza kubweka? km unaweza itakusaidia sana kwenye hiyo mikakati yako.
kuwa MBWA
Upo darasa la ngapi?
Niko kamili, niko fiti.Muombe Mungu akubadilishe uwe mbwa ili uwe na uwezo kama wa mbwa.
NB: kwa akili zako finyu kama hizi, ukibadilishwa ukiwa mbwa BASI UTAKUA JIBWA KOKO.
Kuiga wanyama au wadudu ili ufanikishe jambo jema ni jambo zuri, mfano mzuri wa watu walioiga wanyama au wadudu kufanikisha jambo jema kwa maendeleo mema ya dunia ni wanasayansi, wamewaiga wanyama na wadudu kama siafu, mchwa, jongoo, samaki, kobe, birds n.k.
Katika onaona yangu, sijawahi ona mnyama au mdudu anayejamiiana kwa kujiamini, uhakika na ufundi kama mbwa, kama unaona kuna mnyama au mdudu anayemzidi mbwa kwenye kujamiiana mweke hapa.
Sasa, nifanye nini ili niwe kama mbwa kwenye intercourse?
Karibuni.
Na wewe ni walewale, nimegundua hauko serious ndiyo maana umenishauri hivi.Unaweza kubweka? km unaweza itakusaidia sana kwenye hiyo mikakati yako.
Kama uko fiti kwanini unataka kuwa mbwa?Niko kamili, niko fiti.
Haiwezi tokea hata siku moja nimuombe MUNGU anibadili kuwa mbwa.
Bado Mkuu.Ushawahi kuona Kiti moto akigegeda? Kama hujawahi nakushauri fanya uchunguzi halafu hiyo nia yako ya kutaka uwezo wa Mbwa ihamishie kwa "Kitimoto"
Hiyo ya kusex na mbwa unadirikije kusema hivyo?, walewale.Unataka kuwa hivyo ili ukamkomeshe mwanamke tu?ama unataka uhamie kusex na mbwa?
Mie sio mtaalamu ndio maana nimeuliza lengo lakoHiyo ya kusex na mbwa unadirikije kusema hivyo?, walewale.
Kwa comments hizi, TZ hakuna wataalam.
Ungekuwa na akili kama unavyojinadi, ungerejea kwenye majibizano ya comments zilizopita, uliniuliza nina akili?, ndiyo nimekujibu "NIKO FITI, NIKO KAMILI, kiakili"Kama uko fiti kwanini unataka kuwa mbwa?
Kuiga wanyama au wadudu ili ufanikishe jambo jema ni jambo zuri, mfano mzuri wa watu walioiga wanyama au wadudu kufanikisha jambo jema kwa maendeleo mema ya dunia ni wanasayansi, wamewaiga wanyama na wadudu kama siafu, mchwa, jongoo, samaki, kobe, birds n.k.
Katika onaona yangu, sijawahi ona mnyama au mdudu anayejamiiana kwa kujiamini, uhakika na ufundi kama mbwa, kama unaona kuna mnyama au mdudu anayemzidi mbwa kwenye kujamiiana mweke hapa.
Sasa, nifanye nini ili niwe kama mbwa kwenye intercourse?
Karibuni.
Kwa wanawake wachache ninaowamiliki, wawili, hawawezi kuniua.Utakufa mkubwa lile ni limpira (plastic)huwezi shindana nalo
AhaaKwa wanawake wachache ninaowamiliki, wawili, hawawezi kuniua.
Tembea na mke wa mtu utakuwa nayo tena kali zaidKuiga wanyama au wadudu ili ufanikishe jambo jema ni jambo zuri, mfano mzuri wa watu walioiga wanyama au wadudu kufanikisha jambo jema kwa maendeleo mema ya dunia ni wanasayansi, wamewaiga wanyama na wadudu kama siafu, mchwa, jongoo, samaki, kobe, birds n.k.
Katika onaona yangu, sijawahi ona mnyama au mdudu anayejamiiana kwa kujiamini, uhakika na ufundi kama mbwa, kama unaona kuna mnyama au mdudu anayemzidi mbwa kwenye kujamiiana mweke hapa.
Sasa, nifanye nini ili niwe kama mbwa kwenye intercourse?
Karibuni.