kufanakupona
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 522
- 417
- Thread starter
- #81
Sehemu nyingi kwenye huu uzi nimetoa angalizo nataka maoni yanayothibitishika kisayansi.Mganga ni mganga tu, inategemea anaegemea wapi. Kuangamiza au kutibia,
Wewe ulitaka ushauri, pokea ushauri . wewe utabishanaje na mganga..?
Daktari unaweza bishana nae hawa wa digitali , lakini wa jadi tangu lini ukabishana nao ? Fauata maelekezo mkuu..
Ulitoa ushauri ambao kiwaziwazi kabisa unaonekana hauthibitishiki kisayansi.
Mganga ni mganga?, kama hata mganga wa kienyeji asibishiwe, kwanini wanakamatwa na serikali?, maana yako dawa zao haziaminiki, za kubishiwa.