October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
Tujifariji japo
STEP 01
Ukitaka kuwa kama Bakhresa kwanza jaribu kuwa kama Reg Mengi, ukitaka kuwa kama Reg Mengi amejielezea kwenye kitabu chake.
STEP 02
Ili kufikia Billion 600 ndani ya miaka 30 mbele kwasiku inabidi uingize around 70M-80M, ili uingize 80M kwasiku njia rahisi uwe na vyanzo vya pesa vinne (4) kila kimoja kikupe 20M kwasiku.
Kwabla kuwaza kuingiza 80M kwasiku umiza akiri utawezaje kutengeneza 20M kwasiku.
Ukishapata iyo Biashara na mchakato wake na ukatengeneza kweli 20M kwasiku Diversify ×4 upate 80M kwasiku.
Question
Biashara gani utapata 20M kwasiku ??
STEP 01
Ukitaka kuwa kama Bakhresa kwanza jaribu kuwa kama Reg Mengi, ukitaka kuwa kama Reg Mengi amejielezea kwenye kitabu chake.
STEP 02
Ili kufikia Billion 600 ndani ya miaka 30 mbele kwasiku inabidi uingize around 70M-80M, ili uingize 80M kwasiku njia rahisi uwe na vyanzo vya pesa vinne (4) kila kimoja kikupe 20M kwasiku.
Kwabla kuwaza kuingiza 80M kwasiku umiza akiri utawezaje kutengeneza 20M kwasiku.
Ukishapata iyo Biashara na mchakato wake na ukatengeneza kweli 20M kwasiku Diversify ×4 upate 80M kwasiku.
Question
Biashara gani utapata 20M kwasiku ??