MkamaShapu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 317
- 170
Habari wakuu,
mimi ni kijana mwenye miaka 25..ni mweusi sana...na mrefu wa wastani....na sio mnene
..ningependa wakuu mnipe hints za kuvaa..ili na mimi nionekane smart...kama vijana wenzangu.
Najitahidi kununua nguo
lakini hazinipendezi.
mimi ni kijana mwenye miaka 25..ni mweusi sana...na mrefu wa wastani....na sio mnene
..ningependa wakuu mnipe hints za kuvaa..ili na mimi nionekane smart...kama vijana wenzangu.
Najitahidi kununua nguo
lakini hazinipendezi.