kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,898
Ukute ulipigwa kibuti na demu na ukaambiwa hupendezi basi nawe ukaamini moja kwa moja. Ujana kazi sana ila kumbuka soon utafika 30 hayo ya nguo yatabaki kuwa priority ya watoto wako wewe utaanza kukimbizana na ada za watoto na kodi ya nyumba. Kijana 25 tayari wewe ni mtu mzima hiyo miaka utaiacha soon.yasikusumbue sana labda kama kila unapoenda watu wanakushangaa ulivyovaa otherwise ni vitu vidogo hivyo usi complicate