Nifanyeje ili mpenzi wangu ajue ninampenda?

Nifanyeje ili mpenzi wangu ajue ninampenda?

jenga ATM machine pembeni ya dressing table iwe ina hela masaa yote walah badala ya dear atakuita roho mtakatifu cc Maasai dada

Mkuuu nimeipenda hiyo. Kula tano


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
jenga ATM machine pembeni ya dressing table iwe ina hela masaa yote walah badala ya dear atakuita roho mtakatifu cc Maasai dada

hahahhhah peasa sio mapenzi sweethat

hayo maisha ya kupewa pesa a.k.a kuhongwa tushayapitia na hatuku enjoy hata kidogo

muwe na pesa za kawaida tu katika mapenzi ili muweze kula,kutembelea sehem mbalimbali na kufanya yenu kama kujenga,na ,maendeleo mengine
tushapita huko tukaishia kunynyaswa tu na masharti magum

niko na baby wangu mr M na utuache tulale
 
Last edited by a moderator:
Mpe hela, mnunulie samsung galaxy, iphone, ipad, mpangie nyumba, shopping kwa sana, mwisho mpe hela mpaka ufilisike
 
Mkatie dushelele yako hapo atakupenda na kukuamini.
Ukifa shauriro.
 
Mjali tu kwa chochote ulichokua nacho...!na uwe muwaz na mkwel kwake.
 
Mkuu ili ujue anakupenda kunywa sumu ufe kweli atajua ulimzimia...loading error...
 
hahahhhah peasa sio mapenzi sweethat

hayo maisha ya kupewa pesa a.k.a kuhongwa tushayapitia na hatuku enjoy hata kidogo

muwe na pesa za kawaida tu katika mapenzi ili muweze kula,kutembelea sehem mbalimbali na kufanya yenu kama kujenga,na ,maendeleo mengine
tushapita huko tukaishia kunynyaswa tu na masharti magum

niko na baby wangu mr m na utuache tulale

k goodnight
 
Back
Top Bottom