Nifanye nini tena labda mnishauri

Status
Not open for further replies.
Ahsante sana nimekuelewa vizur....Cwez kurudia kosa tena nimepata fundisho
 
Ni kwavile nilimwamin saana.
Acha kulia, maisha yataenda tu kama kawaida. Tatizo kubwa kwetu sisi binadamu niwagumu kukubali tatizo, na usilazimishe huenda atakufanyia makubwa ukiforce!!! Mshukuru mungu amekitamkia kuliko angeendelea kukumega halafu baadae sana akakitosa.
Stand up!!!!!!! Life goes on
 
Pole sana.. Jiamini, Kuwa mvumilivu, hapana kukata tamaa, 2 weeks ni muda mfupi kuweza kutoa Judgement khs mwenza wako.

Yawezekana jamaa yako kapatwa na Uoga au kuna kitu hajavutiwa nacho toka kwako sababu ya muda mfupi mliokaa ktk uhusiano,
mpe muda anaweza akakuelewa na akarudisha mawasiliano tena na ww.
 
Tatizo wakina dada walio wengi wakiwa kwenye mahusiano wanawaza ndoa ndo wengi wanakamatiwa hpo tu , kina cha maji hakipimwi kwa macho utaishia kuzama pima kwa vipimo vyako kama unaetaka kuwa n sahihi kwako
 
Thank you very much
 
Sawa
 
Kuna watu walipenda kama wewe sasa wanatamani bora ingekuwa kama wewe wapate nafasi nyingine ya kuwa na wenza tofauti!!
Dry your eyes and move on!
What doesn't kill you makes stronger!!
 
Kuna watu walipenda kama wewe sasa wanatamani bora ingekuwa kama wewe wapate nafasi nyingine ya kuwa na wenza tofauti!!
Dry your eyes and move on!
What doesn't kill you makes stronger!!
Thank you
 
Mwanamke na kuongopewa wanaishi jirani sana, ukimtongoza binti ukamuomba mapenzi tu bila ndoa hutapata kitu ila ukimwambia nitakuoa baadae ooh! Ndani ya wiki 2 tayari umeshambunguwa. Kila mtu na msalaba wake maana baada ya miezi kadhaa utadanganywa tena kwa style nyingine kwani wanawake wengi mnapenda sweet lies.
 
Oki
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…