Mimi nilishatoa sana ndio kwanza wanazidi kufanikiwa!Kwa hiyo unatushauri na sisi wengine tulio dhulumiwa, huku matapeli wetu wakidunda mtaani kwa raha zao! Tujaribu kutoa machozi 😭
Labda itasaidia!
Pumbavu sanaSijasoma ila ushauri wangu fanya hivi vitu viwili
1. VINYA UKUTA
2. JAMBA TIKITI MAJI
Hata me inakikomo ni mwisho herufi 1024.Pole sana! Mbona wengine wanaandika ma paragraph marefu!
We dogo upoSijasoma ila ushauri wangu fanya hivi vitu viwili
1. VINYA UKUTA
2. JAMBA TIKITI MAJI
Sijawahi kusikia!Hata me inakikomo ni mwisho herufi 1024.
Nadhani ni baadhi ya simu zilivyo.
thanks siz acha nishushe nyago zangu hapaAcha nao usije umuhimu kaka
Endelea kula maisha
We siunatumia simu tanashati ndio maana.Sijawahi kusikia!
Ndio ikoje hii?We siunatumia simu tanashati ndio maana.
Simu ya kugusagusa(smartphone)Ndio ikoje hii?
Kabisa !Asee Karma is real.
Ufanyeje vipi, kwani mchawi unaporoga watu, huelewi dawa ya kuneutralize au kwa lugha nyingine 'kurogoloa'?Bahati nzuri mungu saidia nikaenda mlimali nikapata nikauza m12 nikahama hiyo sehemu jumla. Sasa kuna rafik yangu ambaye alikuwa katibu wa mwenyekiti nikampa kama posho ya m1 after kuwa ameleta mteja. Na hadi waleo ni rafik yangu na ndio kanambia kinachoendelea huko.
Huyo alobaki na meno 20 mdomoni anaomba niende nimpe msamaha after **** anaisha na familia yake karibia inaisha coz mtoto wake wa kwanza alianguka na hyo pkpk nae akawa r.i.p. Mke wake nae after kuona hayo akatoroka kwa kuogopa kuwa jamaa kaiangia kwa waganga ndio wanamaliza familia yake. Sasa jamaa yupo kachanganyikiwa na familia kwa kupitia huyo rafiki yangu katibu wananihitaji niende kumtolea msamaha coz wameenda kila sehemu kuanzia kwa waganga, mapastor, mashehe, hawa wanantembea na misalaba na mishumaa jibu ni moja tu. ATI MTAFUTE MLIYEMDHULUMU MIAKA HIYO MUMUOMBE MSAMAHA. Swaili ni nifanyeje hapo bandugu. Pale ambapo hujaelewa uliza ntakujibu.
mda mwingne kuweni hata na akili kidogo. Yaani mawazo yako unataka kila mtu ayafuate ndugu. Toka juu hadi chini ni wapi uchawi umeongelewa au kutajwa hapo. Tatizo umetumia kamasi badala ya ubongo afu nakuomba iwe mwisho kuchangia ninachokiandika jf.Ufanyeje vipi, kwani mchawi unaporoga watu, huelewi dawa ya kuneutralize au kwa lugha nyingine 'kurogoloa'?
Af mi sipendagi stori hizi za kichawi na kishirikina, maana hazina fomular wala mantiki.
japo siamini mambo ya bibilia na quran ila naomba nikujibu hivi:CHAGUA MMOJA KATI YA HAWA WAWILI.
1. YESU KRISTO (Pacifist)
Mathayo 5:44 imeandikwa wapendeni adui zenu.
Mathayo 18: 22 Samehe 7 ×70.
Math 22: 39, 19: 19, Luk 10: 27 Imeandikwa mpende jirani yako kama nafsi yako.
2. MUHAMMAD (Kiongozi wa kikundi cha Waislamu)
Al kisasi khaki, jino kwa jino
UjamboPumbavu sana
Nipo..We dogo upo