edwin george
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 1,218
- 982
Wanaita kulala na ndotoMkuu yani nisipo lala na mkeka ata usingizi sipati nitaangaika sana nakuta nawakopa paka voda m pawa niweke mkeka nikiweka nitajipamatumaini kibao kesho napesa yakutosha
Wanaita kulala na ndotoMkuu yani nisipo lala na mkeka ata usingizi sipati nitaangaika sana nakuta nawakopa paka voda m pawa niweke mkeka nikiweka nitajipamatumaini kibao kesho napesa yakutosha
watu kama ww wamenishauri wengi sana ila mmeegemea upande mmoja wa kuliwa je nikiwa naweka laki nakula kila siku itakuwa ajeUkiishiwa tu utaacha.au ongeza dau la kubet,uwe unafunga mkeka wa laki ukiliwa unahifadhi risiti.halafu siku moja uje uzihesabu hizo risiti
Wana wivu hao achana nao mm Nina mwaka wa 2 tank yangu najaza full kwa pesa ya mzungu.na tena nimefurahi nimeona Princess wanafungua brach tabata ntakuwa natoka na taurowatu kama ww wamenishauri wengi sana ila mmeegemea upande mmoja wa kuliwa je nikiwa naweka laki nakula kila siku itakuwa aje
Hongera kamandaWana wivu hao achana nao mm Nina mwaka wa 2 tank yangu najaza full kwa pesa ya mzungu.na tena nimefurahi nimeona Princess wanafungua brach tabata ntakuwa natoka na tauro
Wana wivu hao mkuu wanajifanya wanakataa sababu ya dini wakati wana vimada.bora wabeti wakale bata na pesa ya mzunguThis is true, ni kazi gani utafanya uingize laki mbili kwa lisaa katika nchi yetu hii?
Acheni watu wabeti jamani, mtu unalaza laki 4-6 kwa siku kwanini uache hio kazi!
ni ya kweli? Kama jibu ni ndio basi inaniboost morali ya kurudi uwanjani.Betting ukiacha tamaa kupata ni rahisi. Kwanza pitia game za siku. Fanya analyse ya game kama 6 hivi. Tafuta odds Isizidi 4-5. Weka mpunga.Chukua akiba yako yoote tena na ongezea nyingine kopa kabisa alafu bet mechi ngumu kuliko zote, ukipata ushindi usibet milele, ukikosa ushindi usibet milele na utakua umekoma automatically.
Muombe Mungu,mwambie kuwa unataka kuacha kubet na utaacha.Dah! wewe unataka kuacha me nataka nijifunze kubeti hasa mechi za Arsenal maana huwa sipati taabu kubashiri mechi za Arsenal.
Mkuu je nikiweka pesa ya ada nikalaKama wewe ni mwanafunzi. Chukua pesa yote ya ada kisha tia mkeka.
The aftermaths will make you quit
Nikweli mkuuNilikuwa kamaria mkubwa sana kipindi cha nyuma!
Ilikua kila siku lazima nibet. Ila sasa kutokana na zile "near misses" (mkeka wa mamilioni kuchanwa na event moja) nikaamua nipumzike na sasa sibet tena wala sipati mzuka wa kubet japo kwenye simu yangu nina app ya m-bet na meridianbet.
Ninavyojitathmini siwezi kusema nimeacha kubet bali nipo kwenye local leave.
![]()
Hivi hiini ya kweli? Kama jibu ni ndio basi inaniboost morali ya kurudi uwanjani.
Warning: DO NOT BET YOUR LIFE AWAY.
Kwa hiyo mkuu kwa mfano ukibashiri mechi bila kuweka pesa ni dhambi?? au kubashiri kama mkutano utakuwa na watu wengi au wachache ni dhambi??Kubeti ni kubashiri, kubashiri na kupiga ramli ni chukizo kwa Mungu. Kasome kitabu kizima cha kumbukumbu la torati.
tafuta milion moja muue man muue barselona muue madrid muue psg waue woteee wakubwa alfu weka milion matokeo yake yatakufanya uuchukie mchezoJamani nifanye nn ili niweze kuacha kubet kwasababu mm imekuwa ni zaidi ya madawa
ya Makonda.
Yaani nisipo lala na mkeka ata usingizi sipati nitaangaika sana nakuta nawakopa paka voda m pawa niweke mkeka nikiweka nitajipamatumaini kibao kesho napesa yakutosha
Nilijitaidi kwa wiki moja sikubet kabisa nikawaambia watu nimeacha kila mtu alishangaa anaye nijua ila wiki sina furaha kabisa nikaenda siku moja nikaweka mkeka nikala laki 2 nilijiona kama nimekosa pesa nyingi sana nilivyo acha
Nimejenga marafiki wengi wa kubet wakila wanakuja niambia nimekula milion roho itaniuma kwa nini sijabeti
![]()
asante kwa ushauritafuta milion moja muue man muue barselona muue madrid muue psg waue woteee wakubwa alfu weka milion matokeo yake yatakufanya uuchukie mchezo
Km ambavyo umesema hela ambayo huwez kuipata kwa urahisi so sio rahisi km unavyofikiri kuzipataNikiweka jero nibora nisibet hapo kwa jero ningekula 7000 elfu saba ata mishe mishe naipata mm nataka pesa ambayo siipati kwa uraisi
Lets get this money niggaWana wivu hao mkuu wanajifanya wanakataa sababu ya dini wakati wana vimada.bora wabeti wakale bata na pesa ya mzungu
Hahahahahaha, we jamaa mi nipo kimanga sema natembelea mitaa ya mawenzi sana hapo panapo meridian kuchukuwa gawio kwa mzungu!Wana wivu hao achana nao mm Nina mwaka wa 2 tank yangu najaza full kwa pesa ya mzungu.na tena nimefurahi nimeona Princess wanafungua brach tabata ntakuwa natoka na tauro
Mkuu itabidi unielekeze vizuri hiyo live betting hasa kwa meridian coz zile tarakimu nyingi nyingi huwa zinanisumbua sana....Hahahahahaha, we jamaa mi nipo kimanga sema natembelea mitaa ya mawenzi sana hapo panapo meridian kuchukuwa gawio kwa mzungu!
Haina mbaya bobuMkuu itabidi unielekeze vizuri hiyo live betting hasa kwa meridian coz zile tarakimu nyingi nyingi huwa zinanisumbua sana....